Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Nilikosea hapo mkuu ila nimesharekebisha. Hoja yangu ilikua Si.ba wasidhani wapo kwenye nafasi nzuri sana maana wao wanahitaji ushindi wa aina yoyote kwani sare ya magoli itamaanisha kuyaaga mashindano
Mkuu, mbona unaruka ruka sana, nani kakuambia Simba haiwezi kushinda??kushinda kwako unaona jambo gumu??Unataka tupite bila kushinda??Washindani wa kweli wanajua ili kupita ama kufuzu Kushinda ni sehemu ya wajibu wako!!Ni wajibu wetu Simba kushinda na tutautekeleza ipasavyo!!
 
Mkuu, mbona unaruka ruka sana, nani kakuambia Simba haiwezi kushinda??kushinda kwako unaona jambo gumu??Unataka tupite bila kushinda??Washindani wa kweli wanajua ili kupita ama kufuzu Kushinda ni sehemu ya wajibu wako!!Ni wajibu wetu Simba kushinda na tutautekeleza ipasavyo!!
Tumshauri kocha asifanye majaribio kwa waxhezaji asiokua na uhakika nao yakatokea kama ya mechi na Sevilla
 
Tumshauri kocha asifanye majaribio kwa waxhezaji asiokua na uhakika nao yakatokea kama ya mechi na Sevilla
Mechi na Sevilla Kocha anakuambia alipanga kuwapa nafasi wachezaji wote waonje ladha ya kucheza na team ya kiwango cha dunia, haikuwa mechi ya kimashindano hivyo sio mfano sahihi.

Haya toa Ushauri unataka kikosi kiweje! Ambacho wewe ndio unaona serious?Tiririka sasa tunasoma tutamshauri
 
Asante mdau mtoa uzi tutafanyia kazi, ila nikupe ushauri wa bure unapoenda vitani waza zaidi kushinda kuliko kufeli. Hofu yako ndiyo inawakuta vyura fans hawaiamini timu yao ndiyo maana hawaendi viwanjani hiyo hofu huwapata hata wachezaji pale wanapokosa support kutoka kwa mashabiki.
Simba hiyo hofu huwa hatuna hata pale tunapoona timu yetu ni dhaifu dhidi ya mpinzani rejea timu yetu ikiwa dhaifu msimu wa juzi tulipigwa 3 bila na yanga lakini kwa kuamini siye ndiyo siye nchi hii tulirudisha bao zote jambo ambalo lingekuwa kwa yanga ndiyo wawe wamepigwa goli hizo wangekata tamaa.
Tusiwe watu wakukata tamaa mapema jiamini na adui yako atakuogopa nadhani kujiamini kwa simba ktk uwanja wa mkapa kuliisaidia sana simba kufika robo ccl kwa kuwadindia vigogo wa afrika hadi zahera akawadanganya ndugu zake kuwa simba anapulizia dawa vyumba kumbe hasijue kuwa ni nguvu ya mashabiki iliwafanya wachezaji wajitoe mhanga wasije wakawaangusha
 
Mechi na Sevilla Kocha anakuambia alipanga kuwapa nafasi wachezaji wote waonje ladha ya kucheza na team ya kiwango cha dunia, haikuwa mechi ya kimashindano hivyo sio mfano sahihi.

Haya toa Ushauri unataka kikosi kiweje! Ambacho wewe ndio unaona serious?Tiririka sasa tunasoma tutamshauri
Apange kikosi cha mashindano na si majaribio
 
Nimekaa mara fikra za woga zimenijia. Nahofia timu yangu Lunyasi wa Msimbazi kuaga mapema kwenye michuano ya CCL. Naomba iwe ni ndoto tu

Kumbuka kwenye mchezo wao wa kwanza wa raundi ya kwanza walitoka sare ya bila kufungana AS SONGO ya Msumbiji

Ndugu zangu sare ya bilakufungana ugenini ni hatari sana. Unatembea kwenye uzi mwembaamba sana baina ya kusongambele na kutupwa nje ya mashindano.

Hapo hakuna alternative kwa Simba zaidi ya ushindi. Afadhali ile sare waliotoka watani zetu wa Jangwani na Township Rollers, sare ya bao moja kwa moja. Kama Yanga wakikaza ugenini wakatoka angalau sare ya bao mbili kwa mbili au zaidi wanafuzu kwa raundi inayofuata

Msimbazi akitoa sare ya magoli ya aina yoyote anaaga mashindano, suluhu ya bilabila ni changamoto ya mikwaju ya penati ambayo sikuzote haina mwenyewe!

Tuliidharau timu hii ya Mozambique lakini siku zote Msumbiji hua inatusumbua sana iwe kwa ngazi ya vilabu na hata timu ya Taifa. Wana style yao ya kufunga goli dakika tano za mwanzo na likang'ang'ania hadi mpira unaisha

Natoa wito kwa viongozi na hasa benchi la ufundi wasiwachukulie poa hawa jamaa

Waache kabisa tabia yao ya kufanya majaribio ya wachezaji na aina ya uchezaji, tabia ambayo kocha wetu Patric anayo sana. Waweke kikosi cha kazi isitukute aibu tukakosa pa kuweka sura zetu

Sisi mashabiki panapo majaaliwa tutakuwepo uwanja wa Taifa kutoa sapoti inayohitajika kama kawaida yetu

SIMBA NGUVU MOJA
Kwa jinsi walivyocheza simba kule msumbiji kuna hatari wakatolewa mapema tu kwenye michuano hii.

Wakishikiliwa mpaka penalty watatolewa tu maana wanavyocheza ni kama wanalewa kwanza ndiyo wanaingia uwanjani.
 
Ndio kipi hicho?kitaje mkuu
Kupanga kikosi ni kazi ya kocha, siwezi thubutu kumpangia maana sio taaluma yangu. Hii haina maana akipanga kikosi cha hovyo tukapoteza mechi tuache kumlaumu, tutamlaumu hasa ukizingatia bajeti iliyotumika kukusanya kikosi chenyewe

Kama ilivyokua kwa Stars ,Amunike ndie alikua na mandate ya kupanga timu lakini timu ilipoboronga tulijiuliza kwa jinsi alivokua anapanga timu alikua analazimishwa au anapanga mwenyewe!!!! Simba hatutaki litutokee
 
Hakuna shida Mzee, Ila kukusaidia ile sare ya simba kwa ugenini ni afadhal zaid kuliko draw ya Yanga Nyumaban... Siku zote mechi za mtoano ukishindwa kutake advantage ya uwanja wako wa Nyumban kutolewa ni rahis sana.

Simba Msimu ulipita wa Champions League

Alimfunga Nkana taifa akafuzu hatua ya makundi
Alimfunga Vita mech ya mwisho taifa akafuzu robo fainali
Alidraw Home na Mazembe akaenda kutolewa Congo.

NB. Simba alishinda Mechi zake zote alizocheza Uwanja wa Taifa kwenye hatua ya Makundi.
Hii simba ya sasa siyo lethal kama ya msimu uliopita.
 
Back
Top Bottom