Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,320
- 115,315
Wangejua ninavyoumia tukitolewa au hata tukifungwa nadhani wangenielewa
Mapenzi kwa timu zetu yasitufanye tushindwe kuonyesha madhaifu yake na kutoa tahadhari
Hakika Ses. Japo wale shabiki mandazi kama Shadeeya hawatakuelewa hata kidogo. Wataona umenunuliwa. 😀