Chama kisicho na matabaka ya udini na ukabila ni ccm tatizo ni ufisadi.

UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo

nadhani kuna ufinyu wa fikra pevu ktk hii hoja yko.huwezi kufanya kosa kwa kuiga angalia sheria kwakua, enzi hzo kulikua na matabaka basi ndio tuyaendeleze mpaka leo? Nyerere alishakataza haya mambo iweje yanaanza upya?
 
nadhani kuna ufinyu wa fikra pevu ktk hii hoja yko.huwezi kufanya kosa kwa kuiga angalia sheria kwakua, enzi hzo kulikua na matabaka basi ndio tuyaendeleze mpaka leo? Nyerere alishakataza haya mambo iweje yanaanza upya?
MTU MWENYE BUSARA HUKUBALI KUKOSOLEWA NA HUJIREKEBISHA PALE PANAPOONEKANA AMEKOSEA SIO KUJITETEA NA KUCHUKIA KILA UNAPOKOSOLEWA, nakushukuru kaka kwa kuwakumbusha haya
 
UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo
Sawa ndugu lakini mie haya ni mawazo yangu na sioni sababu ya wewe kuona sina kitu kichwani, hata kama umeona kuna udini ccm basi utakuwa wa kingunge ambaye hata dini hana. CCM haina udini ni lazima tukubali na kama unadhani kuna udini hebu ni ambie CCM ni ya dini gani??? angalia watendaji wake kuanzia raisi, mawaziri, mabalozi, wakuu wa majeshi, mikoa, wilaya, wakurugenzi wa mashirika ya umma na mikoa sasa sijui unapata nini hapo. kwa mtu mwenye akili timamu na anayejua kusoma na kuandika lazima atakubaliana nami
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
Acha kudanganywa mkuu ccm nao ni wadini sana kikwete alitaka kuweka usawa ndo maana unona kachukiwa ndani ya chama chake kuwa anakiuwa chama ni bora tuweke chama kipya ambacho hata km kinaonekana kuwa na taswira ya udini lakini hakijawa na mizizi mirefu km ya ccm sasa hv sio zile enzi za mwalimu kila jamii ina vijana wenye elimu ya kutosha watakaotaka kuukuza udini ndani ya chama tutawapiga chini na maaskofu tunawaomba msijiingize sana kwan hata nyinyi hamna jipya mbona awam iliyopita mlikuwa kimya na nchi ikiendelea kuporwa?
 
UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo

nadhani kuna ufinyu wa fikra pevu ktk hii hoja yko.huwezi kufanya kosa kwa kuiga angalia sheria.kwakua enzi hzo kulikua na matabaka basi ndio tuyaendeleze mpaka leo? Nyerere alishakataza haya mambo iweje yanaanza upya?
 
Kukijadili kitu kila siku ni ishara ya kuki abudu.

Kama hatupendi udini kwa nini kila siku tupende kujadili udini? Tuachane na mada za udini
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?

Wewe ni mgeni Tanzania? CCM unaijua kweli au unasemea kitu kingine? naobna haina haja kubishana na mtu asiyejua anachokisema maana ni sawa na kubishana na mtu kwenye rangi ya damu kuwa sii nyekundu
 
Kaka mtoa mada umeandika lakini hujui nini unachomaanisha. Unacoongelea wewe kuhusu habari ya udini na ukabila hakina logic kabisa, zaidi zaidi hizo ni propaganda za Magamba katika kudhoofisha vyama vya upinzani vinavyoonekana vina uungwaji mkono mkubwa kwa wananchi. Wakati ule CCM-B walipokuwa wana nguvu sana kama chama cha upinzani, Magamba wakadai kuwa CCM-B ni chama cha uislamu na wazanzibar kwahiyo wananchi tuwe makini nao sana tuwaogope kama ukoma. Kipindi hiki Chadema kina nguvu kuliko vyama vyote vya upinzani nao wamewaanzishia hilo zengwe la udini na ukabila. Nalazimika kutaka kuamini kuwa wewe sio Chadema kama unavyojipambanua mwenyewe, kama ni kweli wewe ni Chadema basi jitahidi utumie akili zako kuujua ukweli kuhusiana na hilo suala usiwe kama wale wanaokubali kila kitu kisemwacho na kiongozi wao. Kuhusu suala la kugawa nafasi za uongozi kwa kuangalia dini ya muhusika, hapo sikuungi mkono kaka, dini ina nafasi gani katika kuwaletea maendeleo wananchi au katika utendaji wa kazi serikalini au ktk Chama? Hapa nilitarajia ungesema mtu apewe nafasi yake kutokana na uwezo na sifa za mhusika katika utendaji kazi. Uliposema kuwa unataka madaraka yagawanywe kwa makabila yote na dini zote unataka kuniambia huko CCM katika nafasi walizopeana dini na makabila yote zimewakilishwa sawa na uwiano wao kwenye ngazi mbali mbali?. Kuna hulka iliyojengeka kwa dini fulani kulalamika kila siku kuwa wananyimwa uwakilishi serikalini, ushawahi kusikia Wahindu, Freemasons, buddha, wasio na dini n.k wakilalamikia uwiano wao serikalini?
 
UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo

nadhani kuna ufinyu wa fikra pevu ktk hii hoja yko.huwezi kufanya kosa kwa kuiga angalia sheria.kwakua enzi hzo kulikua na matabaka basi ndio tuyaendeleze mpaka leo? Nyerere alishakataza haya mambo iweje yanaanza upya?
 
Ndugu zanguni
Nimeangalia kwa ukaribu sana na kugundua kuwa ni chama kimoja tu ambacho kina mchanganyiko wenye uwiano unaokubalika na taiafa zima lakini tatizo ni ufisadi ndio unakibomoa hiki chama. Kikwete anajitahidi sana lakinin watendaji ndio wanamuangusha kama akina chami, ekelege , maige nk
Hili ni tatizo kubwa ambalo wapinzani ndio wanatumia udhaifu huu kupata washabiki. mie binafsi nakipenda sana chadema lakini nimegundua kuna matatizo yanayojitokeza ya hapa na pale ambayo ningewashauri wayafanyie kazi haraka sana.
Kuna tatizo linalosemwa la ukabila amabalo sio la kupuuzia kwa sababu lisemwalo lipo
Wengine wamekuwa wakikiita chama cha wakristo hapa ningewaomba wajitafutie wanachama wengi kutoka dini zote na kugawa madaraka yenye uwiano sawa kwa watu kutoka makabila yote na dini zote ili iwe kama CCM
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI. CCM HAKUNA UKABILA WALA UDINI.
Na inabidi vyama vingine viige huu mfano.
Hebu anagalia Kikwete muisilam na baraza lake la mawaziri.
Unazani rais angekuwa sefu sharifu mandevu baraza lingekaaje?
UNAJUA MAANA YA UKABILA NA UDINI na wasiwasi na umri wako
 
Kaka umeongea point nimekusikia, lakini mie sikuwa namaanisha kuwa lazima uangalie dini au kabila ila kuna wakati mwengine ili kuepuka na lawama zisizo na msingi au mawazo ya watu fulani kuhusu chama hiki ni vyema zikatolewa nafasi kwa uwiano kama alivyofanya nyerere alihakikisha kila kabila na dini kunatoka viongozi ndani ya chama, sasa ukiniambia taifa zima chama kiwe na viongozi wa kabila moja tu si au dini moja tu si itakuwa hatari hii? hapo muda si mrefu migogoro na mgawanyiko vitaanza na chama kingine kitaundwa na hii ndio sababu vyama vingi vya upinzani kenya vilivunjika na kukatokea vyama vingine vidogo vidogo vya upinzani kitu kilichosababisha kura za upinzani zipungue wakati za chama tawala zilikuwa ziko vile vile
 
UNASEMAJE? Hivi wewe unaakili kweli? umefanya utafiti wapi, mwezini? ukiwa unaishi ulaya? chini au juu ya mbingi ya dunia? mwee!!!!!! machikini, wewe angalia kitu kimoja tuuu usiende mbali, kuna udini hata kabla hakijaitwa ccm, hayo yote hayana maana, chama cha kimatabaka/ kinatetea tabaka tajiri, wahindi, matajiri, viongozi...

nenda shule huna kitu kichwani dogo

nadhani kuna ufinyu wa fikra pevu ktk hii hoja yko.huwezi kufanya kosa kwa kuiga angalia sheria.kwakua enzi hzo kulikua na matabaka basi ndio tuyaendeleze mpaka leo? Nyerere alishakataza haya mambo iweje yanaanza upya?
 
Acheni kutukuza mawazo ya watu marehemu!!! Hamtafika mbali. Mawazo yenu yanakuwa yamekaa kimarehemumarehemu tu.
 
Back
Top Bottom