MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,491
- 8,718
Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.
Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.
Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.
Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.
Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.
Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.
Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.
Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.
Sent using Jamii Forums mobile app