Tetesi: Chama kisha pokea milion 100 za awali katika ahadi ya Ikulu

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,491
8,718
Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilichojiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.

Mtu wangu wa karibu sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilichoitwa Ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billioni za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.

Kaniambia kwa mujibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Urais hadi Udiwani.

Na wao tayari wameishapewa Milion 100 za kujenga Chama na nyingine watapewa kadri siku zinavyoenda mbele.

Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja maana waliitwa kila mmoja kivyake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.
 
Shida pesa zina Mashariti yake na lengo ni kugawa kura na kuionyesha Dunia kwamba kuna Democrasia Tanzania
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.

Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.
 
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.
Kweli mkuu una akili sana mkuu kusupport upumbavu nchi masikini inachezea kodi za watu maskini ila kuna maisha baada ya Awamu hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.
Kwa hiyo ndio kisingizio chenu hiki?!

Sasa kama ni kujenga demikrasia kwanini mpeane sirini bila taarifa yoyote rasmi?

Nyie ni wezi wa taifa halafu mnajidai wazalendo, bilioni 1.3 zinatosha kabisa kuwachimbia visima huko vijijini angalau wapate maji yenye nafuu, sio kunywa matope wanayokunywa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni pesa kwa ajili ya kujenga demokrasia ni Jambo jema hasa ikizingatiwa demokrasia ni gharama.

Inapendeza kuona kuna vyama nje ya CCM kitakuwa na uwezo wa kuweka wagombea nchi nzima kwa nafasi zote.

Hii itapunguza maneno kwamba wagombea wa vyama vya upinzañi wananyimwa fomu na kuzuiwa kumbe sababu kubwa ni ukata ndio maana wanashindwa kusimamisha wagombea nchi nzima.
Ccm na democracy ni oxymoron.
 
Sasa kaka hizo zimetolewana bunge gani? Siamini huu ujinga kuwa ni kweli.
CCM ndio chama pekee chenye Nia ya dhati ya kujenga demokrasia nchi na CCM kutumia mapato yake kutoka na vitega uchumi vyake ili kujenga demokrasia si jambo gumu.

Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa nilisema kuwa wapinzani walisusa kutokana na ukata na si kingine mkabisha leo Mbatia kathibitisha kikwazo Cha wapinzani kutofanya michakato ya kidemokrasia ni ukata.

Msione aibu kuomba msaada wa kifedha CCM ili kujenga vyama vyenu, CCM haina tatizo Kama pesa inazotoa zitajenga demokrasia ya kweli.

Rais Magufuli hawezi kutumia pesa za walipa Kodi kufanya kitu hicho.
 
CCM ndio chama pekee chenye Nia ya dhati ya kujenga demokrasia nchi na CCM kutumia mapato yake kutoka na vitega uchumi vyake ili kujenga demokrasia si jambo gumu.

Wakati wa uchaguzi wa Serikali za mitaa nilisema kuwa wapinzani walisusa kutokana na ukata na si kingine mkabisha leo Mbatia kathibitisha kikwazo Cha wapinzani kutofanya michakato ya kidemokrasia ni ukata.

Msione aibu kuomba msaada wa kifedha CCM ili kujenga vyama vyenu, CCM haina tatizo Kama pesa inazotoa zitajenga demokrasia ya kweli.

Rais Magufuli hawezi kutumia pesa za walipa Kodi kufanya kitu hicho.

Kusanya watoto wa chekechea waambie hayo maneno.
 
Kwahiyo?,ulitaka wakatae pesa?,wewe ni hovyo sana
Wakuu naendelea kuwaletea Data za nini kilicho jiri pale Ikulu siku mkuu kakutana na NCCR, ACT na CUF.

Mtu wangu wa karibi sana ambaye ni kuiongozi wa juu wa moja ya Chama kilicho itwa ikulu kanitonya tena kwamba kwa Chama chao wameahidiwa 1.3 Billion za kampeni ambazo zitatumika kusimika wagombea nchi nzima.

Kaniambia kwa mjibu wa bosi wake hawajaahidiwa majimbo ya bure ila watapewa pesa za kusimika wagombea nchi nzima kuanzia ngazi ya Uraisi hadi Udiwani.


Na wao tiyari wameisha pewa Milion 100 za kujenga Chama na zingine watapewa kadri siku zinavyo enda mbele.

Pia hajui vyama vingine viwili vimeahidiwa sh ngapi kila kimoja make waliitwa kila mmoja kivyake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom