William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
- Ndugu zangu wananchi wote wa Tanzania mnaoishi mjini New york na vitongoji vyake, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Muda Ndugu Khaji, ninaomba kuwatangazia tangazo la tangulizo kuhusu kusajiliwa kwa chama kipya chenye lengo la kuwajumuisha Wa-Tanzania wote katika maeneo ya New York na vitongoji vyote vya karibu.
- Sasa hivi chama hiki kipya kipo mbioni pia kuanzisha mtandao wake, yaani Website na pia kupata katiba yake kwa mujibu wa makubaliano ya wanachama, pia chama hiki kina viongozi wa muda ambao ndio hasa waliojitolea katika kuweka msingi wa hiki chama, ambacho baada ya kukamilika kwa usajili wake, tutasema rasmi ni lini kutakuwa na mkutano wa Wa-Tanzania wote, ili kuweza kupanga agenda za kujiaandaa na uchaguzi wa viongozi, pamoja na kupitisha katiba ya chama, ninarudia tena kwamba nia na madhumuni ni kuwajumuisha wananchi wote bila kumbagua yoyote yule.
- Tungependa kupokea mawazo na new ideas zaidi, kuhusiana na chama kilipo sasa na mwendo wake mbele ya safari, ingawa kwa sasa tayari chama hiki kimeshapata baraka za Balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa NY, ingekua vyema pia tukasikilzia mawazo na the new ideas za wananchi wote wa New York na wengineo pia, wote mnakaribishwa sana.
Tutaendelea kufahamishana yatakayojiri mbele ya safari yetu, inshallah.
Ahsanteni.
William (CO) : Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano (Interim)
- Sasa hivi chama hiki kipya kipo mbioni pia kuanzisha mtandao wake, yaani Website na pia kupata katiba yake kwa mujibu wa makubaliano ya wanachama, pia chama hiki kina viongozi wa muda ambao ndio hasa waliojitolea katika kuweka msingi wa hiki chama, ambacho baada ya kukamilika kwa usajili wake, tutasema rasmi ni lini kutakuwa na mkutano wa Wa-Tanzania wote, ili kuweza kupanga agenda za kujiaandaa na uchaguzi wa viongozi, pamoja na kupitisha katiba ya chama, ninarudia tena kwamba nia na madhumuni ni kuwajumuisha wananchi wote bila kumbagua yoyote yule.
- Tungependa kupokea mawazo na new ideas zaidi, kuhusiana na chama kilipo sasa na mwendo wake mbele ya safari, ingawa kwa sasa tayari chama hiki kimeshapata baraka za Balozi wetu kwenye Umoja wa Mataifa NY, ingekua vyema pia tukasikilzia mawazo na the new ideas za wananchi wote wa New York na wengineo pia, wote mnakaribishwa sana.
Tutaendelea kufahamishana yatakayojiri mbele ya safari yetu, inshallah.
Ahsanteni.
William (CO) : Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano (Interim)