WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,610
- 5,276
Benjamin William Mkapa aliiweka Tanzania katika ramani ya dunia kiuchumi,kisiasa,kijamii na kidiplomasia kwa hiyo kama hukumpenda nenda ujinyonge ili wale tuliofaidi utawala wake tuendelee kumuenzi kwa mazuri yake.Mjinga kweli wewe,tunaiga mazuri,sio mabaya!