NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,456
- 17,272
Ndio chama kinachoandaliwa kama mbadala Halali wa ccm!Mtego huu. Watu makini wasikosee kuingia hiki chama.
Ndio chama kinachoandaliwa kama mbadala Halali wa ccm!Mtego huu. Watu makini wasikosee kuingia hiki chama.
Nashukuru sana lakini mimi siamini katika uongo bali naamini katika ukweli mshenzi mmoja Tangu tupate uhuru hadi anapata madaraka kutoka kwa viongozi huru tena wa chama chake anaanzisha mada ya mabeberu wakati yeye alikuwa beberu nambo moja Tanzania,Urais hakuupata kwa vita wala hakuingia msituni kama Mseveni na Kagame akaanzisha ukagame na umseveni Tanzania nauongo mwiiiingi halafu uniite mimi mhuni,Mungu akubariki.Ipa watega, apa unadhihirisha kuwa kwenye kundi la wahuni na wewe umo.
Ndio chama kinachoandaliwa kama mbadala Halali wa ccm!
Wasukuma nao ni watu tena wanao lisha chakula Tanzania nzima KWA uchapakazi WAO!!Chama cha Wasukuma
Itabidi tumuulize huyo Kigogo huenda ana taarifa zaidiMtuambie kwanza Ben saa nane alizikwa wapi na meko
Kigogo alisema meko alimuua magogoni kwa mikono yake mwenyewe
Wanalisha nani wametapakaa nchi nzima kutafuta sehemu nzuri kwa vile kwao wamesababisha njaa kwa uharibifu wa mazingira.Wasukuma nao ni watu tena wanao lisha chakula Tanzania nzima KWA uchapakazi WAO!!
Mikoa inayolisha Tanzania na nchi jirani ni tisa ambayo ni:-Wasukuma nao ni watu tena wanao lisha chakula Tanzania nzima KWA uchapakazi WAO!!
Damu zipi,hizo picha za Kivu na CAR.Anyway,tunachosena ni hiki tushirikiane wote kuiletea nchi yetu maendeleo,kusitokee mmoja wetu akawa Covert CIA operative or whatever akatuvuta miguu nyuma,hiyo haitakubalika.
Mbona wewe unauenzi mzimu wa juvenile?Tanzania ina watu wa ajabu sana..yaani watu wanaabudu mizimu (watu).mtu unaanzaje kusumbuka na mtu?? Sasa mambo ya Magufuli yanakujaje??
Kama siasa zikiwa za kistarabu,zisizo za kibabe,fujo na matusi hakuna sababu yeyote kwa nini serikali ya Chama tawala isi relax masharti.Tatizo ni vyama vya upinzani kutokuwa na adabu na kushirikiana na mabeberu kui-sabotage nchi.Nchi hii ni yetu sote,Ni lazima tushirikiane kuijenga,sio kuibomoa.
Labda nikuulize swali.Hivi kama wewe ungekuwa Rais,halafu unahangaika kuwaletea wananchi wako maendeleo.Then watu fulani kwa ujinga tu na uchumia tumbo from nowhere,wanashirikiana na mabeberu ku-sabotage maendeleo ya taifa,wewe kama Rais ungewafanyaje?And you have all the evidence.Naomba unijibu tafadhali.
Sukuma gang ndio nini?This is an imaginery group which cannot be proved that it exsists.Claim hii ina nia ovu ya kupaka matope yeyote mwenye nia njema na taifa letu na kutetea maslahi yake.This concept has its roots in hell.
Falsafa za kuiba kura sio
Kwa Falsafa ya JPM naunga mkono mia kwa mia! Mijambazi imerudi kwa kasiUkabila, udiktekta moja kwa Moja hicho chama kishakataliwa na wananchi.
Kutekwa, kuuawa ilikua ni Enzi ya awamu ya tano tu? Vp ulimboka, mwangosi, wafanyabiashara ya Madini waliuwawa awamu ya tano?
Acheni propaganda za kutufanya kuwa hatujui mifumo ya serikali inafanyaje kazi.!
Mwisho: Hayati Dkt. John pombe Joseph magufuli alikuwa ni kiongozi bora kuliko yeyote kwa kipindi alichokua madarakani.
Na huo ndiyo ukweli kubali kataa itabaki hivyo.
Wasukuma wametapakaa KILA mahali kama wakulima KILA mkoa unawakuta kama wafanyabiashara wa kichaga vile!!Mikoa inayolisha Tanzania na nchi jirani ni tisa ambayo ni:-
1.Rukwa- Wafipa
2.Ruvuma-Wngoni
3.Songwe-Wanyiha,Wamalira,Wanyamwanga na Wandali
4.Njombe-Wabena na Wakinga
5.Morogoro- Waruguru
6.Mbeya - Wanyakyusa,Wasafwa
7.Kigoma-Waha
8.Katavi-Wafipa na Wasukuma
9.Iringa-Wahehe
Kama weweHahaaaa!!!!kweli hii nchi ina mataahra meng
Wewe ndo hujui wewe cheki tu kidogo alivyo simama gwajima Na falsafa ya magufuli ya kupinga Corona watu wengi walimkubali Na wengine kumpokea kama rais chuki zako tu ndo zinakufanya useme Ivo ila ukweli ndo uo magufuli alipendwa Na watu wengi saanahujui usemalo