Job mtoeNamuona Bashiru, Kabudi, Polepole, Job, Ngeleja, Biteko, Musukuma, Gwajima, Chalamila, Mongela, Makonda, Sabaya yupo jela...........
Hakuna jipya hapo. Ni umoja wa wasaliti, vigeugeu na watafuta ruzuku.Chama chochote chenye mlengo, nia na Imani ya Nyerere au Magufuli hao nitakwenda nao
Chadema wanaamini wazungu ndio watatukomboa na dubwana lao lisu + Robertson,
CCM kimetekwa na majizi
Ngoja tuone kama huu umoja utazaa jambo gani.
Hii katiba mpya tukuletee huko uliko!!?Wananchi hatutaki chama kipya,Tunataka katiba mpyaaaa
Magufuli peoples Party kipo tayari na Nembo yake ni hii sijui kwanini Wanachelewa kukisajili ila TWITTER kina mwanga Sera zakeWangekiita Magufuli Party
Ngeleja hawezi kuwa na hao kwani yeye n i wa Rostam/Mkwere!!!Yote ni majangili
Chama Cha Polepole hicho
hakuna tofali za hivyo; huwa ni geresha tuBila shaka kitajengwa na tofali zinazomeguka kutoka CCM.
CCJ kilichokuja kubadilika kuwa CCK kiko wapi? Nakumbuka kilianzishwa kwenye mazingira kama haya.
Mkuu Mkiki hiyo signature yako inaumiza maini kwa ukweli uliomo!Mapema sana
Kama ni #TeamMagufuli ndiyo wameanzisha chama hicho kama wangenitaka ushauri mapema basi mimi ningewashauri waachane na mpango huo usioweza kuzaa matunda badala yake wangeanzisha MAGUFULI FOUNDATION ili kumuenzi vizuri na labda kama zilivyo Nyerere Foundation, Mkapa Foundation na Kikwete Foundation huenda nacho kingezaa matunda mazuri ya kumuenzi. Mwenye masikio na asikie! Asomaye na afahamu!Wangekiita Magufuli Party
HIVI CCM ni chama Cha siasa? Kina hati ya USAJILI?Demokrasia ya vyama vingi inazidi kushamiri Tanzania.
Angalizo, Kamwe wasikigeuze chama kuwa Genge la Kihalifu kama walivyo fanya viongozi wa Chadema.
Chama cha siasa lazima kiwe kweli chama cha kisiasa.
Nanukuu toka kwa Bulesi "Sukuma........ waaanzisha Chama chao kumuenzi mwendazake!!!"Mapema sana
Upinzani Kama ni DHAIFU dola ingeingilia? Wakifanya jogging tu tayari Polisi hawa hapa, mikutano wa ndani tu, Polisi hawa hapa. Upinzani dhaifu sasa uachwe huru tuone CCM kama watakuwepo!Sasa Bashiru kuwa mwenyekiti wa chama ndio anguko lingine kwa hilo zoezi!?
Wengi wa wanasiasa wa vyama pinzani Tanzania hawana nia ya dhati ya kupeleka nchi kwenye maendeleo ya watu. Ndio maana upinzani unazidi kuwa dhaifu siku baada ya siku
Mungu ibariki Tanzania