Igurumuki Masanja
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 783
- 1,615
Kumbe ccm mmeanzisha tawi lingine hongereni
Matawi ya CCMKumbe ccm mmeanzisha tawi lingine hongereni
Umoja ni nguvu.Ile ni Chama Cha Mapinduzi.
Hii ni Chama Cha Umoja.
Anyway, wahenga tumesha elewa
MimiHapa tutatajie kuwaona akina......
Bashiru
Polepole
Ngeleja
Job
Msekwa
Sinde
Biteko
Kabudi
Jafo
Na....
Ni nguvu iloyo anza kujitenga kutoka CCM kwasababu nikama hairidhishwi na mwenendo wa utawala huu.Umoja ni nguvu.
Ni CCM====> Wasio ridhishwa na mwenendo wa chama kwa sasa
Bashiru ni msukuma?Sukuma........ waaanzisha Chama chao kumuenzi mwendazake!!!
Yote ni majangiliNamuona Bashiru, Kabudi, Polepole, Job, Ngeleja, Biteko, Musukuma, Gwajima, Chalamila, Mongela, Makonda, Sabaya yupo jela...........
Ajitetee kwa nani sasa? Mnapenda sana utumwa!Tunataka katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi sio Chama kipya.
Yaani chifu hangaya na wenzake wanadhani hii ni kete ya kwenda kujitete huko mbele eti kuna demokrasia??
Bashiru ni msukuma?
Kabudi ni msukuma?
Job ni msukuma?
Msekwa ni msukuma?
Sinde ni msukuma?
Mkuu, ebu soma alama za nyakati usifanye ushabiki
Pamoja na mapungufu yao wana nafuu sana. Polepole alopoteulwa ccm alijiona amefika. Wazee walikuwa na nyazifa kubwa lakini bado wanajielewa kuliko yeye.Siamini kama MSEKWA NA SINDE wanaweza kuwa kwenye genge la Polepole na Bashiru.!