Viti maalum zimetangazwa. Chadema kimepata viti 23, hongera sana.
Jinsi chama kinavyopigania haki kwa wananchi sikutegemea kama nao hivyo viti watagawana kwa upendeleo mkubwa.
Kuna mkoa kama Mwanza na Shinyanga umetoa wabunge wengi ambao ndio ilitosababisha chama kupata viti vingi, wameambulia patupu!. Wanawake waliogombea majimboni waliahidiwa wakikosa watapewa, wasio na ndugu ngazi za juu za chama Hawakupata.
Ni utaratibu upi umetumika Kilimanjaro viti 3, Dsm viti 3, Manyara na Moro na Singida viti 2 kila moja? Je huu sio UKANDA!
Hebu angalieni hiyo mikoa ndio mtajua naongea nini. Sasa nimeona kumbe Chadema ikipata haina tofauti na CCM. Heri tena CCM maana inaeleweka waliochukuliwa ni wale walioongoza mikoani mwao kwa chaguzi za UWT ambazo nayo ilikuwa ni RUSHWA tupu iliyotawala.
Jinsi chama kinavyopigania haki kwa wananchi sikutegemea kama nao hivyo viti watagawana kwa upendeleo mkubwa.
Kuna mkoa kama Mwanza na Shinyanga umetoa wabunge wengi ambao ndio ilitosababisha chama kupata viti vingi, wameambulia patupu!. Wanawake waliogombea majimboni waliahidiwa wakikosa watapewa, wasio na ndugu ngazi za juu za chama Hawakupata.
Ni utaratibu upi umetumika Kilimanjaro viti 3, Dsm viti 3, Manyara na Moro na Singida viti 2 kila moja? Je huu sio UKANDA!
Hebu angalieni hiyo mikoa ndio mtajua naongea nini. Sasa nimeona kumbe Chadema ikipata haina tofauti na CCM. Heri tena CCM maana inaeleweka waliochukuliwa ni wale walioongoza mikoani mwao kwa chaguzi za UWT ambazo nayo ilikuwa ni RUSHWA tupu iliyotawala.