CHAMA Kinazama! Nani Alaumiwe?

MAFILILI

JF-Expert Member
Apr 28, 2011
2,377
1,194
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.

Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.

Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014
 
Kifo cha CDM bado hakijafika na hata dalili zake bado, Haya unayoyaona ni mapunga punga yanatolewa katika shamba la mpunga ili unawiri zaidi. Subiri ushuhudie mavuno nyakati za chaguzi ndio utaamini Kung'oa punga punga sio kupunguza idadi ya mpunga shamba na kuliua shamba.
 
Mafilili badala ya kushangilia chama kinakufa wewe unataka tumlaumu mtu? Na wewe ni ngedere nn kama signature yangu?.
 
CDM kampuni ya kanda ya kaskazini.

Kaskazini ndiko yaliko yote mema ya dunia. Kaangalie ramani ya dunia uone maendeleo yako nchi zilizoko upande gani? Cheki hata Dar wilaya yenye maendeleo iko wapi?

Angalia hata rais wako JK katika siku zaidi ya 360 alizopiga misele nje kaenda nchi zilizoko wapi? Heshimi sana Kaskazink maana huko ndiko alikotokea hata nyerere aliyewakomboa.
 
Kaskazini ndiko yaliko yote mema ya dunia. Kaangalie ramani ya dunia uone maendeleo yako nchi zilizoko upande gani?...
Hebu angalia tena ramani ya Dunia halafu tuelekezane upya!


hobodyer-large.jpg
 
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.

Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.

Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014

Wakulaumiwa:

1. Wachaga

2.Padre

3.Mtei

4Mbowe.

Ushauri wako wa bure umechelewa, kwani SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA.
 
Unaweza kutuwekea picha hadi tujue hadi leo zimebaki meter ngapi kizame? Hiki Kisiwa Chadema....
 
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.

Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.

Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014
Hata mwasisi wa Chadema Edwin Mtei katika kitabu chake cha "the Ghost of Mtei" katika utangulizi wake anaweka wazi maana ya Chadema ni "Chagga Development Manifesto" na hivyo chama hicho kubaki mikononi mwa kabila hilo. Sina nia mbaya na kabila la wachaga ninachojaribu kufafanua ni kwamba chadema ni chama cha kikabila na kikanda.
Ikumbukwe kwamba Zitto Kabwe alipotaka kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama hicho mzee Mtei alimnyooshea kidole na kumtolea maneno makali yaliyonukuliwa akisema "I cant leave my party to a man from no where" kauli ambayo mimi naitafsiri ni ukabila.
Katika bunge lililoisha mwenyekiti wa chadema alitetea kwa nguvu zote sera ya chama chake ya siasa za majimbo kwa kile alichokiita kupunguza madaraka makubwa kwa serikali kuu, na siku chache baadae aliyekua mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema alikaririwa akisema "nina uwezo wa kumzuia Rais na Waziri mkuu wasikanyage Arusha" Kauli hii imekuja kupigiliwa msumari na Mbunge wa Arumeru mashariki mkoani Arusha kwa tiketi ya chadema Joshua Nassari kua mikoa ya kaskazini itajitenga na kumtaka Rais Kikwete kutumia pasi ya kusafiria kwenda katika mikoa hiyo. Je huu si uhaini? Je utanishawishi vipi nisiamini kwamba Nassari hakuropoka bali ni mipango na sera za Chadema?
Ninachoamini ni kwamba alichofanya Nassari ni kuvujisha siri za chama chake.
Mtei.png



Mbowe 1.jpg
squinting Party
 
Kaskazini ndiko yaliko yote mema ya dunia. Kaangalie ramani ya dunia uone maendeleo yako nchi zilizoko upande gani? Cheki hata Dar wilaya yenye maendeleo iko wapi?

Angalia hata rais wako JK katika siku zaidi ya 360 alizopiga misele nje kaenda nchi zilizoko wapi? Heshimi sana Kaskazink maana huko ndiko alikotokea hata nyerere aliyewakomboa.
Huo ndo ukweli wenyewe. Maana halisi ya kaskazini kwa kila lugha ni zaidi ya tunavofikiria. Angalia mfano hata kwa sumaku tu uone maana halisi ya kaskazini.
 
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.

Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.

Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014

Too Late.
Sikio la kufa halisikii dawa.
 
Dalili ni tosha, Chadema kinaanguka kwa kasi kubwa huku uhai wa chama unazidi kuteterereka pamoja na mifarkano inayotokea chamani kutokana na kuwepo uongozi wa KIIMLA unaoendekeza mgawanyiko wa wanachama kutokana na ukanda ukabila na udini.
Uongozi legelege katika chama umechangia kuwepo kwa maamuzi kufanywa na Mwenyekiti pamoja n Katibu Mkuu huku Makamu Mwenyekiti na Naibu Katibu Mkuu Bara wakitengwa katika vikao vya maamuzi.

Yote yanayotokea hivi sasa yamesababishwa na ubabaishaji wa Mheshimiwa Mbowe na Dr. Slaa ambao wamegeuza CHADEMA kuwa taasisi yao wakifuata maelekezo ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei.

Ushauri wa bure kwa CHADEM, kaeni chini mjadili namna ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2014

Yanakuhusu?????? Tangu lini????
 
Back
Top Bottom