Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,544
- 19,394
Unapotosha; ule siyo uwanja wa kimataifa bali ni regional airport. Ndege za kimataifa zinazoweza kutua pale ni za dignitaries tu ambao wanakuwa cleared on arrival. Huwezi kupata ticket ya kutoka London kwenda Chato bila kuptitia Dar au Kilimanjaro!Ni wilaya gani nyingine umejengwa uwanja wa Ndege wa kimataifa, hata miji makuu ya mikoa mingi haina viwanja kama hicho