Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Habari.
Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.
Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.
ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.
Ili kuweka mambo sawa kuhusiana na Siasa za nchi yetu, ifahamike kuwa chama kikuu cha upinzani hapa nchini baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ni ACT- Wazalendo inayoongozwa na Zito Kabwe na siyo CHADEMA inayoongozwa na Freeman Mbowe.
Bila kujua wafuasi wengi wa CHADEMA wamekuwa wakikitambulisha kama Chama Kikuu cha Upinzani nchini wakati siyo kweli. Hadhi ya CHADEMA kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini ilikoma mwaka 2020 baada ya kushindwa kila mahali na kuambulia Mbunge mmoja tu.
ACT-Wazalendo ina Wabunge wengi kuliko CHADEMA kwa sasa.