fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Bila kumwaga damu wala mizengwe ni muda sasa CCM ife ili kulinda maslahi ya nchi. Nchi ina maslahi ya kudumu na watanzania wanategemea makubwa kwa nchi yao, vyama vitakuja na kupita, vyama vingi vimepita na nchi ambazo vyama vimepita nyingi ziko mbele ya TZ kiuchumi na maendeleo. Ni muda mwafaka sasa kwa rais mzalendo mwenye upeo kama anao kukubali hali ilivyo duniani.
Kukubali huko ni kuacha kabisa CCM ifeeeeeeeeeeee, hoja ni moja tu kimeshindwa kuleta maendeleo, genge ni kubwa tena limejaa wahuni na wezi. Rais wangu acha life tukukumbuke japo kwa hilo.
Karibu CHADEMA bara na CUF Visiwani.
Kukubali huko ni kuacha kabisa CCM ifeeeeeeeeeeee, hoja ni moja tu kimeshindwa kuleta maendeleo, genge ni kubwa tena limejaa wahuni na wezi. Rais wangu acha life tukukumbuke japo kwa hilo.
Karibu CHADEMA bara na CUF Visiwani.