Elections 2010 Chama gani kilichukuwa jimbo hili?

He, hapa si nimesikia kuna skendo ya mbunge mteule wa chadema kuuza ushindi kwa ccm............hii ya kuuza ilitaka kutokea nyamagana
 
Alitangazwa Mathias Ole Kisambu wa CHADEMA, lakini ghafla tukasikia Mshindi ni Goodluck Ole Medeye wa CCM.
 
Back
Top Bottom