Puma yetu
Senior Member
- Sep 23, 2016
- 111
- 125
Hapa nazungumzia uchaguzi wa kura za maoni kuwapata wagombea ubunge, rushwa imetamalaki kila mahali.Wajumbe wa mikutano mikuu ya wilaya maeneo mengi wamepiga kura kwa kupewa rushwa sana.
CCM tunapenda sana kusema kila kitu au malalamiko yasiwe mitandaoni na badala yake yawasilishwe kwenye chama, it is too late.Naomba Majimbo yote uchunguzi ufanyike kwa kina maana rushwa imegawiwa kama njugu hasa kwa kutumia MAWAKALA wa mitandao ya simu ambapo huwezi kuona moja kwa moja jina la mtoa rushwa na utaona la wakala tu. Wote waliopitishwa kwa rushwa wakatwe bila huruma
Viongozi wetu wa chama taifa mnayo jukumu zito kuondoa mdudu huyu.Tunataka chama chetu kua kipya
CCM tunapenda sana kusema kila kitu au malalamiko yasiwe mitandaoni na badala yake yawasilishwe kwenye chama, it is too late.Naomba Majimbo yote uchunguzi ufanyike kwa kina maana rushwa imegawiwa kama njugu hasa kwa kutumia MAWAKALA wa mitandao ya simu ambapo huwezi kuona moja kwa moja jina la mtoa rushwa na utaona la wakala tu. Wote waliopitishwa kwa rushwa wakatwe bila huruma
Viongozi wetu wa chama taifa mnayo jukumu zito kuondoa mdudu huyu.Tunataka chama chetu kua kipya