johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,814
- 141,716
Chama cha wanunuzi wa korosho kimesema Rais Magufuli ana data zote zinazohusu zao la korosho na kwamba hoja zake zote kuhusu bei ya korosho kutopungua sh 3000 kwa kilo ni za msingi. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama hicho katika mahojiano na watangazaji wa Clouds 360. Aidha wamemuomba Rais Magufuli atumie mamlaka yake kuwaondolea export levy kwenye zao hilo.
Source Clouds tv!
Source Clouds tv!