Chama cha wanasheria wataka tume huru kuchunguza majaji wa Tundu Lissu, wampinga Ngw'ilizi

Tundu Lissu nampenda sana, ni mpiganaji wa nguvu. Anasema pia Rais asipomwondoa huyu jaji yeye atapeleka hoja bungeni ya kumwondoa Rais kwa kuvunja katiba kwa makusudi kwa kumteua mtu ambaye hastahili kuwa jaji wa mahakama ya rufaa.
 
Jinsi mambo yanavyokwenda kwenda inaoneka dhahiri Tundu Lissu has a point. Hoja uzimwa kwa hoja sio mabavu.
 
Ninakubaliana na wewe kuhusu nafasi ya TLS. Tumeona ni jinsi gani wanasheria Kenya wanavyopaza sauti kila mara serikali inapokwenda kinyume na katiba. TLS kwa muda mrefu imekuwa inakaa kimya kiasi sasa wanasheria wanaokana kama mashuhuda kama si washiriki wa ujambazi unaondelea nchi hii. Pengine kwa kababu baadhi yao wanapata 'tender'/kazi huko huko serikalini. i.e Rex attorneys.

Ukificha maradhi kifo kitakuumbua, TLS sasa wanaona aibu iliyoikumba upande wao. Unakuwaje na jaji wa mahakama ya rufaa asiye hata na degree ya sheria? This is a scandal of biblical propotions! Ni aibu mno na itabakia kuwa aibu kwenye vitabu vya historia ya nchi hii. TLS wanatakiwa sasa wapambane to restore the badly damaged reputation ya taaluma yao.

mkuu najamiika forum simuni. kula LIKE ya nguvu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
halafu hii ya Brigedia Ngwiliza kujifanya anajua jambo la kitaaluma kuliko wanataaluma wenyewe lina takiwa lipingwe, na hao TLS, au hiyoreport ya bunge iishie huko huko kwa wana siasa na kumpelekea Raisi mapendekezo yaona si kuwazuia watu kuliongelea hili suala
 
tatizo ya kamati za bunge ni kuwa taarifa zao zinazoonekana kuwa against CCM huwa hazitolewi hadharani.

halafu hii ya Brigedia
Ngwiliza kujifanya anajua jambo la kitaaluma kuliko wanataaluma wenyewe
lina takiwa lipingwe, na hao TLS, au hiyoreport ya bunge iishie huko
huko kwa wana siasa na kumpelekea Raisi mapendekezo yaona si kuwazuia
watu kuliongelea hili suala
 
Chama cha wanasheria Tanzania, TLS, kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano kuteua tume ya kijaji, ambapo zaidi ya nusu ya hao majaji wanapaswa kutoka nchi za commonwealth nje ya Tanzania ili kuchunguza tuhuma alizozitoa Tundu Lissu kwani zinashusha kabisa hadhi ya mahakama zetu. Kauli hiyo imeto9lewa na mwenyekiti8 wa TLS ndg Stolla. Alisema kauli ya Ngwilizi kuwa watu wasizungumzie madai ya Lissu haina msingi kwani Bunge halina mamlaka ya kuichunguza mahakama bali mahakama inachunguzwa na tume huru iliyoundwa kwa mujibu wa sheria.

Source: Daily News ya leo

My take: TLS ikiendelea kushikia bango hao majaji wote wanaotuhumiwa wataondolewa. Tatizo tu ni kuwa wanaogopa kisiasa itakuwa na madhara. Habari za ndani ya mahakama zinasema baada ya CJ kumwondoa Jaji wa mahakama ya rufaa (sic) Mborouk katika kesi ya Lema hatapangiwa tena kazi ya kuamua kesi maana ukweli sio jaji kisheria. Aliondolewa baada ya Lissu kutishia kuwa kabla ya kuanza kusikiliza kesi hiyo angeweka pingamizi kuwa mbele pamekaa majaji wawili badala ya watatu wanaostahili kukaa kisheria, angeulizwa mbona wapo watatu angesema huyo mmoja hakustahili kuwa jaji maana uteuzi wake ulivunja katiba. Baada ya CJ kupelekewa ujumbe akaamua kumwondoa ili kuepuka aibu. Hili ndio tatizo la uswahili unateua watu kishkaji ambao hawana uwezo wakati kuna brains nzuri sana Tz

Niliwahi kutoa maoni hapa kwamba wabunge wanatunga sheria lakini hawazielewi. Ngwilizi anachemka, au anafikiri bado yuko jeshini
 
Chama cha wanasheria Tanzania, TLS, kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano kuteua tume ya kijaji, ambapo zaidi ya nusu ya hao majaji wanapaswa kutoka nchi za commonwealth nje ya Tanzania ili kuchunguza tuhuma alizozitoa Tundu Lissu kwani zinashusha kabisa hadhi ya mahakama zetu. Kauli hiyo imeto9lewa na mwenyekiti8 wa TLS ndg Stolla. Alisema kauli ya Ngwilizi kuwa watu wasizungumzie madai ya Lissu haina msingi kwani Bunge halina mamlaka ya kuichunguza mahakama bali mahakama inachunguzwa na tume huru iliyoundwa kwa mujibu wa sheria.

Source: Daily News ya leo

My take: TLS ikiendelea kushikia bango hao majaji wote wanaotuhumiwa wataondolewa. Tatizo tu ni kuwa wanaogopa kisiasa itakuwa na madhara. Habari za ndani ya mahakama zinasema baada ya CJ kumwondoa Jaji wa mahakama ya rufaa (sic) Mborouk katika kesi ya Lema hatapangiwa tena kazi ya kuamua kesi maana ukweli sio jaji kisheria. Aliondolewa baada ya Lissu kutishia kuwa kabla ya kuanza kusikiliza kesi hiyo angeweka pingamizi kuwa mbele pamekaa majaji wawili badala ya watatu wanaostahili kukaa kisheria, angeulizwa mbona wapo watatu angesema huyo mmoja hakustahili kuwa jaji maana uteuzi wake ulivunja katiba. Baada ya CJ kupelekewa ujumbe akaamua kumwondoa ili kuepuka aibu. Hili ndio tatizo la uswahili unateua watu kishkaji ambao hawana uwezo wakati kuna brains nzuri sana Tz

Tanzania hii uswahiba umezidi
 
Back
Top Bottom