chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,975
- 20,612
Kuna taasisi zinajiendesha kizamani sana na utawasikia viongozi wake wakihimiza uwazi katika shughuli za umma na wanadai Bunge Laivu, charity begins at home
TLS kinachangisha michango ya mabilioni na kinapata misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi.
Leo wanafanya mikutano yao kwa mujibu wa sheria, mikutano hiyo haiko laivu, ni kama mikutano ya cult fulani, Ni hawahawa huwataka wanachama wasiohudhuria watumie proxy, hata anayetumia proxy anahaki ya kujua mnajadili nini, kuweni laivu
TLS ni chama kinachowakilisha maslahi ya umma, umma unataka kujua mnaendeshaje mambo yenu, kuna vyombo vingi vya habari na mitandao ya kijamii inayoweza kuwasaidia kuwasiliana na umma.
Kuna Youtube-Live
Facebook-Live
Facebook wwatch party
Twitter-Live
Hata pasco mayalla pia ana kampuni yake PPR ambayo ingeweza kuwasaidia katika mawasiliano na hata vipindi vya kimkakati katika prime time ambapo mngejieleza kwa umma kuhusu kilichowakutanisha
Badilikeni,sasa hivi mdau wa ubeligiji angekuwa anakunywa waini yake huku anaangalia laivu
TLS kinachangisha michango ya mabilioni na kinapata misaada ya kifedha kutoka nje ya nchi.
Leo wanafanya mikutano yao kwa mujibu wa sheria, mikutano hiyo haiko laivu, ni kama mikutano ya cult fulani, Ni hawahawa huwataka wanachama wasiohudhuria watumie proxy, hata anayetumia proxy anahaki ya kujua mnajadili nini, kuweni laivu
TLS ni chama kinachowakilisha maslahi ya umma, umma unataka kujua mnaendeshaje mambo yenu, kuna vyombo vingi vya habari na mitandao ya kijamii inayoweza kuwasaidia kuwasiliana na umma.
Kuna Youtube-Live
Facebook-Live
Facebook wwatch party
Twitter-Live
Hata pasco mayalla pia ana kampuni yake PPR ambayo ingeweza kuwasaidia katika mawasiliano na hata vipindi vya kimkakati katika prime time ambapo mngejieleza kwa umma kuhusu kilichowakutanisha
Badilikeni,sasa hivi mdau wa ubeligiji angekuwa anakunywa waini yake huku anaangalia laivu