CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Leo February 08,2020
TAARIFA KWA UMMA
TAARIFA KWA UMMA
Uchaguzi ume karibia, wanaanza kunyoosha vidole ili pande lisi wapite.. Hawa ni wapiga debe wa Ccm..Ndugu viongozi wa CUF, imekuaje hadi sasa mnapingana na sera za chama cha mapinduzi na serikali yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwashauri tu ofisi zenu anzeni kufugia kuku chama chenu mtaani hakipo kabisa
Hebu tuwekee hapa nasi tuusome na kuuchambua!Ule waraka kama ni wa serikali nauunga mkono mana wametoa sababu zenye mashiko.
CUF na vyama vingine vya kupinga kila kitu wanapaswa kuweka mbele maslahi ya umma.
Sent using Jamii Forums mobile app