The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,435
- 17,080
Chama cha wamiliki wa bunduki wa Marekani, National Riffle Association kimetangaza kumuunga mkono Rais Donald J. Trump au maarufu kama Tarrif Man kwenye uchaguzi mkuu ujao wa November 3, 2020
NRA wanasema mtu pekee ambae anaweza kuwahakikishia uhuru wao wa kumiliki siraha ni Trump kwani Biden yeye hana huo mpango na ana mpango wa kulifuta jeshi la polisi na kuhamasisha uovu
Wamiliki wa siraha wanasema iwapo Biden atashinda wataondolewa haki yao ya kumiliki siraha na kujilinda kwani ni haki yao kujilinda na siraha
NRA wanasema mtu pekee ambae anaweza kuwahakikishia uhuru wao wa kumiliki siraha ni Trump kwani Biden yeye hana huo mpango na ana mpango wa kulifuta jeshi la polisi na kuhamasisha uovu
Wamiliki wa siraha wanasema iwapo Biden atashinda wataondolewa haki yao ya kumiliki siraha na kujilinda kwani ni haki yao kujilinda na siraha