mgosani
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,005
- 1,136
Kigezo cha umri wa Dereva siyo jipya,na kwa taarifa umri wa kuanza kuendesha ni miaka 18,na kuanzia mwaka 2012 kama sikosei kwa madereva wa gari za Abiria ni lazima upitie vyuo vya VETA au NIT na upate cheti na hata madereva ambao walipata leseni miaka ya nyuma walihusika kwenda chuo.Tonka lini umli ukawa ni kigezo cha driving. Mau mzima mwenye akili timamu na aliefuzu mafunzo ya driving analuhusiwa kufanya kazi pasipo ubaguzi. Kitengo umli ni ubaguzi. Katiba inasemaje kuhusu mtu mzima?. A wa wagome kweli. Dereva abolonge atajili afungwe. Ampuni ambazo wamiliki wanna share sawa? Dreva akibolonga nani anafungwa?. Washilikishwe kwanza Wamiliki. Tatizo wanaojadili na kutunga awajui iyo biashara. Tuliona wanaalika watu wasio ata na starlet katika mijadara. Gomeni tu kushinikika kusikilizwa.
Bongo tunadhani udereva si taaluma.
Hizi kanuni zililetwa na SUMATRA tarehe 02/3/2017 kwa wadau wa usafirishaji ilizitolewe maoni yao katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar-es-salaam. Wawakilishi wa Taboa,Darcoboa, Road Safety Ambassodors, Chama cha kutetea wasafiri walikuwepo.
Angalizo hebu rekebisha ulicho andika katika bandiko lako.