Augustoons
JF-Expert Member
- Oct 31, 2007
- 409
- 30
Sheria hizi ni mbili tofauti, makosa yanayohusu uendershaji faini zake ziko chini ya ROAD TRAFFIC ACT, ambapo faini kwa kosa la papo kwa papo ni 30,000. Makosa ya leseni ya usafirshaji ni kwa mujibu wa TRANSPORT LICENSING ACTmie sijaelewa, basi likiwa halina dust bin faini yake ni laki mbili na nusu? halafu dereva atakayesababisha ajali faini yake ni elfu 30?