leroy
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,589
- 2,140
hujazaliwa upya wewe!!Ukizaliwa upya unakuwa kiumbe kipya sio kilichozaliwa Tukuyu au wapi, ni kilichozaliwa katika kwa Roho katika Kristo kinakuwa sio Kiyahudi au Kiyunani au Kinyakyusa tena.
Mtume na Nabii Mwamposya ni kiumbe kipya.
Haruna muislam atakae sali kanisani ukimuona huyo sio muislamWewe huna imani kuna watu wanafanikiwa pale wengi sana mbaka wasanii wakubwa wengine waislam wanasali pale majina kapuni so ni bora ukae kimya kuliko kukebehi haipendezi
Hebu niambie bill gate anamuamini nabii naniBIBLIA KATIKA 2 Nyakati 20:20 inasema ; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.
KUMWAMINI mungu kunakupa kuthibitika imani yako mbele zake
kufanikiwa unatakiwa umwamini nabii
.WEWE kama humwamini nabii hata ungekanyaga na kuoga na kunywa mafuta ya upako hufanikiwi kabisaa usitarajie hali yako kubadilika.
WAAMINI MANABII tumefanikiwa .Wachovu wengi makanisani ni wale wasioamini manabii .Wachungaji wao wamechoka na makanisa yao yamechoka na waumini choka mbaya
Hata wewe kama utaendelea kutoamini manabii hali yako haitabadilika kaoge maji ya upako mafuta au maziwa ya upako kula hata keki lote la upako peke yako hufanikiwi kama huamini nabii
Wewe huna imani kuna watu wanafanikiwa pale wengi sana mbaka wasanii wakubwa wengine waislam wanasali pale majina kapuni so ni bora ukae kimya kuliko kukebehi haipendezi
Hebu niambie bill gate anamuamini nabii naniBIBLIA KATIKA 2 Nyakati 20:20 inasema ; mwaminini Bwana, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.
KUMWAMINI mungu kunakupa kuthibitika imani yako mbele zake
kufanikiwa unatakiwa umwamini nabii
.WEWE kama humwamini nabii hata ungekanyaga na kuoga na kunywa mafuta ya upako hufanikiwi kabisaa usitarajie hali yako kubadilika.
WAAMINI MANABII tumefanikiwa .Wachovu wengi makanisani ni wale wasioamini manabii .Wachungaji wao wamechoka na makanisa yao yamechoka na waumini choka mbaya
Hata wewe kama utaendelea kutoamini manabii hali yako haitabadilika kaoge maji ya upako mafuta au maziwa ya upako kula hata keki lote la upako peke yako hufanikiwi kama huamini nabii
Ukimwita mtu tapeli lazima awe amemtaorli yule anaye mwita? Sema kamtapeli nani na kwa namna gani..., mfano kuwaaminisha watu kwamba wakanyage mafuta sijui ili wapokee miujiza halafu baadae una himiza watu watoe fungu la kumi kwa ajili ya Mungu anatakayewatendea miujiza, ni nini kama si utapeli? Ana tofauti gani na mganga wa kienyeji anaembo kuku kwa ajili ya kafara za mizimu halafu anaenda kumla supu yeye mwenyewe?Kakutapeli Nini?
DuhSijasoma yote.
Ushauri wangu ni kuwa huyo baba aache michepuko na kurudi kwa mkewe kwani analiwa na mpangaji wake mpaka tigo anatoa..