Chama cha Wamiliki Mabasi (TABOA) kusitisha kutoa huduma kuanzia Jumatano wiki ijayo kwa kugomea mfumo wa ukataji tiketi kupitia mtandao

Alafu na nyie TABOA mambo ya kusimama sehemu ambazo chakula ni ghali muache kenge nyie yaaani chips na upaja wakuku na Pepsi unaambiwa jumla 18k aisee endeleni kuringa siku SGR ikienea mikoa yote mtakula jeuri yenu
Samahani mkuu naomba kukuuliza... hivi hapo uliposema "18k" hiyo 'k' Ni abbreviation ya Nini...je inasimamia Laki(k)..Elfu na Kama Ni Elfu mbona kwenye Elfu hakuna 'K'..au inamaanisha Kenyan shilling"K"..au inamaanisha Tsh?... naomba kujua "K" Ni ufupisho wa Nini!!na Nini kirefuchake??
 
Ndugu zangu watanzania sijui kwanini tunapenda vurugu vurugu tu,

Jambo lolote linaloashiria maendeleo huwa linapingwa sana.
 
Yaani mtu anatafuta hela..unamwambia aweke hela kwenye mashine kabla..hizo pesa anazipata wapi??. Yaani afanye service gari yake, aweke mafuta, ampe dereva gari ili akatafute abiria arejeshe pesa...wewe unamwambia ajaze pesa zake zingine kwenye mashine, hapo anapewa stress tupu!!.
 
tiketi za ndege hukatawa kwa mfumo wa ki ekectronic na kuna mabasi kibao nao huo mfumo toka zamani kabla ya sasa ikiwemo scandinavia mwanzilishi wa huo mfumo sasa hivi yako mabasi kibao unakata online tiketi na meli pia unakata online .Hawa Taboa siwaelewi mbona kuna mabasi unakata online tiketi na ni wanachama wa Taboa waneanza siku nyingi na hawajafilisika kwa ajili ya mfumo?
Hujaelewa hoja yao ni kwa unalazimwishwa kujaza hela kwenye laini ya simu kwanza hata kama abiria huna,huo ni tofauti na kwenye ndege au kampuni nyingine ambazo mnunua huduma analipa yeye hela kwa Airtel money.tigo au mpesa.Kwa njia nyingine huo mfumo unakutunzia wewe hela sijui bado unamakando kando mengi.Halafu ni wa kampuni nyingine inabidi ulipie pia.
Wanachotaka wawe na EFD ambazo mtu anakata tiketi na goverment inachukua chake kwani kuna ubaya? ila Latra hawataki why?
 
Mnaboa mno watu wa kariba yako roho mbaya hivyo inakusaidia nini mzee baba?watu wakikosa hela wewe furaha yako ni nini hapo unaweza kuta hata v8 la serikali hujawahi kupanda acheni unafiki ndugu zanguuuu

Tajiri mbona umewaka sana?? Au na wewe ni mmoja wao nn? Anyway sometimes inaweza kua utoto.
 
Samahani mkuu naomba kukuuliza... hivi hapo uliposema "18k" hiyo 'k' Ni abbreviation ya Nini...je inasimamia Laki(k)..Elfu na Kama Ni Elfu mbona kwenye Elfu hakuna 'K'..au inamaanisha Kenyan shilling"K"..au inamaanisha Tsh?... naomba kujua "K" Ni ufupisho wa Nini!!na Nini kirefuchake??
K ni Kilo (from Greek Word ikimaani 1,000) yaani elfu kwahio 18k ni 18,000....
 
Unaenda kuwafilisi kivipi, hebu fafanua bwashee!
Hakuna utafiti uliofanyika kabla ya kuuleta huo mfumo?
Bwashee watu wamefilisika na kufunga Mabar na maGuest, Hard ware na Mahotel
wewe unauliza Mabasi
Kila kitu unalipia kabla ya kuliweka Bus barabarani bado LATRA inataka uweke advance katika mfumo huo wakati abiria ni wa kugombania.
Biasahara ya usafiri ni ngumu kuliko zote hebu anza na Baiskeli au Bodaboda tu uone watakavyo kuvamia hao LATRA
acheni wagome, Abiria wanalazimishwa kufuata mabasi Stand kuu kushushwa ni hivyo hivyo, changamoto ni nyingi
 
Bwashee watu wamefilisika na kufunga Mabar na maGuest, Hard ware na Mahotel
wewe unauliza Mabasi
Kila kitu unalipia kabla ya kuliweka Bus barabarani bado LATRA inataka uweke advance katika mfumo huo wakati abiria ni wa kugombania.
Biasahara ya usafiri ni ngumu kuliko zote hebu anza na Baiskeli au Bodaboda tu uone watakavyo kuvamia hao LATRA
acheni wagome, Abiria wanalazimishwa kufuata mabasi Stand kuu kushushwa ni hivyo hivyo, changamoto ni nyingi
Nadhani wameshapata mwafaka!
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom