Baada ya serikali kujiendesha kwa kubebwa na walevi kwa muda mrefu kwa kuwapandishia bei kila mwaka, nakumbuka baada ya bajeti ya mwaka huu kutangazwa kulijitokeza viongozi wa chama cha walevi na wakaahidi kutetea haki za walevi. Naomba kuuliza, hiki chama kipo kweli? Wale viongozi mbona hawajajitokeza tena kuleta ripoti ya kazi yao? Au wameulimbokiwa?