Mia tisa itapendeza
Member
- Dec 7, 2017
- 41
- 27
Ndoa nyingi zimekuwa zikiyumba sababu wanaume wengi wana vikorosho na vibamia hivyo wanawake kulalama kuwa hawafikishwi wala kukunwa ipasavyo, sasa baada ya uchunguzi wa kina imegundulika kuwa wenye madushe ndio wameonekana kupendwa na kupelekea wanawake wengi kutoheshimu ndoa zao pindi wanapochepuka nao!...Sasa viongozi wa chama cha wenye vibamia na vikorosho Tanzania wamepeleka malalamiko yao kwa serikali juu ya tatizo hilo.