Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
"Chama cha upinzani kinapaswa kubeba agenda za wananchi wote, kwa sababu chenyewe kipo nje kinaona mapungufu na maumivu kwa hiyo kinapokuja na sera yoyote kinabeba agenda ya wananchi wote bila kujali mipaka na itikadi ya vyama, hivyo kinawasemea mpaka wanaCCM” - Askofu Mwamakula