Chama cha NASA nchini Kenya kinaomba kura kwa kutumia jina la Rais wa Tanzania

baba_la_kichaga

Senior Member
May 15, 2017
127
53
Kwanza napenda kumpongeza mheshimiwa Rais kwa kazi nzuri anayofanya kuifanya Tanzania ing'are Kimataifa katika pitapita zangu nchini Kenya nimekutana na viongozi wa chama cha NASA ktk kampeni zao wakijigamba kuwa wakishinda uchaguzi watafanya mabadiliko makubwa kama Mheshimiwa Rais Magufuli alivyoifanyia Tanzania.
Hongera sana Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli kwa kazi nzuri
 
Hongera zake! Ila ingawa nyumba hupendeza rangi ya nje wakati ndani makochi yameoza!
 
Back
Top Bottom