Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,247
Kwa anae elewa kuhusu chama cha mapinduzi (ccm).naomba anijuze kwa mtizamo wangu naona hicho chama hakituhusu watanganyika ni chama cha wazanzibar.kwa sababu wao ndio waliyo fanya mapinduzi na wanaserikali ya mapinduzi mpaka leo.kama chama chenyewe kinavyo itwa kuwa ni chama cha mapinduzi.sasa sisi watanganyika kina tuhusuje?wakati hatukufanya mapinduzi yoyote wala hatuna serekali ya mapinduzi?.utafikiri hapa watanganyika ni kama tumepigwa changa la macho.