"CCM kinatoa pongezi kwa Chama Cha ACT - Wazalendo kwa kushinda katika jimbo la Konde Na hii ndiyo demokrasia kama ambayo Rais Samia mara baada ya kuingia madarakani aliahidi kwamba katika uongozi wake ataimarisha dhana nzima ya siasa safi na demokrasia ndani ya nchi yetu" SHAKA