wanaijua ila wanajitoa fahamu ajili ya mkate.Kumbe hata maana ya neno demokrasia ni shida kwa hawa chawa! disgusting?????
wanaijua ila wanajitoa fahamu ajili ya mkate.Kumbe hata maana ya neno demokrasia ni shida kwa hawa chawa! disgusting?????
Mkuu huoni tofauti kabisa?Kumbe hata maana ya neno demokrasia ni shida kwa hawa chawa! disgusting?????
Na kwa kuogopa katiba mpya.labda amekuza demokrasia ya kubambikia watu ugaidi.
Tatizo CHADEMA ata dini mlishazisusaNa kwa kuogopa katiba mpya.
Mkuu unauhakika gani?Huyu ni SAMIA KIBONGE MWENYEWE AU YULE MSHAMBA MLA UMBWA MSIGWA NA ID FAKE TUSHA WAJUA
Mkt wa katiba aogope katiba duuuhNa kwa kuogopa katiba mpya.
Uongo uongo Tu CHADEMAKambambika Nani?
CCM YAMPONGEZA, ni watu 9 wanakaa wanasema wamempongeza. Ccm ina wanachama zaidi ya 10 milioni wasikilizeni wanasema nini kuhusu maza.
Point mkuu,Pongezi ziwe zinatoka mashinani na siyo hao wanaolipwa per dieeeeem kwa tozoCCM YAMPONGEZA, ni watu 9 wanakaa wanasema wamempongeza. Ccm ina wanachama zaidi ya 10 milioni wasikilizeni wanasema nini kuhusu maza.
Daaahwe upo nchi gani hadi unauliza swali la kipuuzi namna hii?
CHADEMA Shaka amewashika pabayaKaole tupu !!
Mbona wewe hujabambikwa?labda amekuza demokrasia ya kubambikia watu ugaidi.
Ni wajinga aina yako wanaweza kuyaamini haya. Muulize Slow slow!!Hakika Rais wetu anastahili pongezi sana,
Mambo anayoyafanya yalishindikana miaka na miaka,
Leo amejitahidi katika sekta mambo yanakwenda,
Hongera CCM || Hongera Rais Samia
🤣🤣🤣Slow Slow ndio nani?Ni wajinga aina yako wanaweza kuyaamini haya. Muulize Slow slow!!