Chama cha Mapinduzi champongeza Rais Samia kwa kuimarisha Demokrasia

CCM YAMPONGEZA, ni watu 9 wanakaa wanasema wamempongeza. Ccm ina wanachama zaidi ya 10 milioni wasikilizeni wanasema nini kuhusu maza.
Point mkuu,Pongezi ziwe zinatoka mashinani na siyo hao wanaolipwa per dieeeeem kwa tozo
 
Hakika Rais wetu anastahili pongezi sana,

Mambo anayoyafanya yalishindikana miaka na miaka,

Leo amejitahidi katika sekta mambo yanakwenda,

Hongera CCM || Hongera Rais Samia
Ni wajinga aina yako wanaweza kuyaamini haya. Muulize Slow slow!!
 
Back
Top Bottom