Chama cha Mapinduzi(CCM) Taifa kimemteua Christopher Chiza kuwa mgombea wa Buyungu

Safi sana. Umoja ni Ushindi. Tunawasubiri kwa hamu chadema na act kwwnye ushirika wao
 
Hilo jimbo halina vijana,mtu over 60yrs bado anataka yeye tu,alishakula ubunge,uwaziri na vyeo kibao bado anataka,Huyo Chiza kweli ana damu ya CCM kutaka kila siku iongoze yenyewe tu!!
Ubinafsi umemjaa!!
 
Dar es Salaam.Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua Christopher Chiza kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Buyungu mkoani Kigoma kwa tiketi ya chama hicho.

Taarifa iliyotolewa leo, Jumanne Julai 10, 2018 kwa vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole imesema Chiza ameteuliwa na Kamati Kuu ya CCM iliyokutana leo chini ya mwenyekiti wake Rais John Magufuli.

Chiza ambaye aliwahi kuwa mbunge wa jimbo hilo anagombea kwa mara nyingine baada ya kuangushwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 na marehemu Kasuku Bilago wa Chadema.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Polepole, pamoja na mambo mengine kwa kauli moja Kamati Kuu imempongeza Rais Magufuli kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya uchaguzi ya CCM na kwa kasi kubwa ya upelekaji maendeleo na huduma za kijamii hasa katika maeneo ya pembezoni na mijini.

Pia wajumbe wa kamati hiyo kwa pamoja wameridhishwa na kuweka kauli kwamba jitihada hizo za kuongeza tija, ufanisi, faida, utumishi wa watu, uadilifu, vita dhidi ya rushwa na kupambana na ubadhirifu wa mali za chama na umma na uchapakazi kwenye chama na Serikali ziendelezwe maradufu.
dar es salaam maeneo yote ya mbezi beach hayana maji tangu jumamosi . hapa kazi tu au uzuzu?
 
Dar es Salaam.Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemteua Christopher Chiza kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Buyungu mkoani Kigoma kwa tiketi ya chama hicho.

Taarifa iliyotolewa leo, Jumanne Julai 10, 2018 kwa vyombo vya habari na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole imesema Chiza ameteuliwa na Kamati Kuu ya CCM iliyokutana leo chini ya mwenyekiti wake Rais John Magufuli.

Chiza ambaye aliwahi kuwa mbunge wa jimbo hilo anagombea kwa mara nyingine baada ya kuangushwa katika uchaguzi mkuu wa 2015 na marehemu Kasuku Bilago wa Chadema.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Polepole, pamoja na mambo mengine kwa kauli moja Kamati Kuu imempongeza Rais Magufuli kwa utekelezaji mzuri wa Ilani ya uchaguzi ya CCM na kwa kasi kubwa ya upelekaji maendeleo na huduma za kijamii hasa katika maeneo ya pembezoni na mijini.

Pia wajumbe wa kamati hiyo kwa pamoja wameridhishwa na kuweka kauli kwamba jitihada hizo za kuongeza tija, ufanisi, faida, utumishi wa watu, uadilifu, vita dhidi ya rushwa na kupambana na ubadhirifu wa mali za chama na umma na uchapakazi kwenye chama na Serikali ziendelezwe maradufu.
Amekuwahi mwenzako kuipokea buku 7 kuhusu taarfa ya huo uzi
 
Mbona wenzio tunanunua kwenye Magari tunajaza Matenki na tunatumia wewe hiyo akili Imekushinda. Hapa Kazi tu
mke yule wa mfalme alichungulia dirishani ... akaona watu waandamana akauliza wale wanataka nn? akambiwa mkate.... akasema si wakale keki! (french rev. )
 
mke yule wa mfalme alichungulia dirishani ... akaona watu waandamana akauliza wale wanataka nn? akambiwa mkate.... akasema si wakale keki! (french rev. )
Yeah Fuckk off your hell ass, Mbezi beach is not for everyone.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom