Egnecious
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 875
- 960
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI TAIFAView attachment 806519
asante kwa taarifa nasikia wafuasi wenu wengi hawajasoma hata shule ya msingi tutawaita tuwasomee hiki mlichoandika
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI TAIFAView attachment 806519View attachment 806520
thubutuuu, hao jamaa wakiwa nyimanyuma ya zito ccm itateseka sana!Taarifa ya Umma ya kumuhusu Nape na Bashe ni saa ngapi labda?
thubutuuu, hao jamaa wakiwa nyimanyuma ya zito ccm itateseka sana!
CCM hawataki kabisa mtu kuwa huru kifikira,mara nyingi namsikiliza bashe mbona huwa anazungumza fact tuTaarifa ya Umma ya kumuhusu Nape na Bashe ni saa ngapi labda?