Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
ndo yaliyoko huko!
Fungua homepage badala ya hiyo link, utafika unakotaka
ndo yaliyoko huko!
Usipokuwa mhusika ni ngumu sana kuujua ukweli.
Ni kweli madaktari wanapokea sms na calls nyingi za vitisho.
Nadhani ni sahihi tu kutafuta njia mbadala za kulinda usalama wao.
Haya ni ya ngoswe.....
na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito. Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza hakuna mgomo lakini sio kweli. Leo tuna madoctor wawili mmoja yuko theater mwingine labour hatuna doctor wa kuwapima wengne hawajaja tunafanya mawasiliano kuwaomba waje kuwahudumia. Atakayeweza kuendelea kusubiri asubiri kama huwezi urudi jumatatu maana madoctor hawana uhakika wa kuja. Source mi mwenyewe nilikuwepo.
na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito.
Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza hakuna mgomo lakini sio kweli.
Leo tuna madoctor wawili mmoja yuko theater mwingine labour hatuna doctor wa kuwapima wengne hawajaja tunafanya mawasiliano kuwaomba waje kuwahudumia.
Atakayeweza kuendelea kusubiri asubiri kama huwezi urudi jumatatu maana madoctor hawana uhakika wa kuja. Source mi mwenyewe nilikuwepo.
Hawa madaktari inabidi wawahishwe mirembe kwa matibabu zaidi.
Ndugu, kwenye hili suala la mgomo wa kulaumiwa NI serikali hii iyojaa wazembe ikiongozwa na bogas wao asiyejua ni nini maana ya uwajibikaji. Hili suala limeachwa kizembe zembe mpaka likafikia hapa. Madaktari hawakukurupuka leo au jana na kusema tugome. Ni uzembe wa siku nyingi. Watu waliomba urais wakifikiria kazi yao ni kukagua magwaride na kupigiwa saluti. By the way unajua watu wanaokufa kwa kukosa huduma bora (ambazo ndizo madaktari wanadai) ni WENGI KULIKO hawa wanaokufa kwa madaktari kugoma?na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito. Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza hakuna mgomo lakini sio kweli. Leo tuna madoctor wawili mmoja yuko theater mwingine labour hatuna doctor wa kuwapima wengne hawajaja tunafanya mawasiliano kuwaomba waje kuwahudumia. Atakayeweza kuendelea kusubiri asubiri kama huwezi urudi jumatatu maana madoctor hawana uhakika wa kuja. Source mi mwenyewe nilikuwepo.
Halafu nilidhani walishaacha kazi tayari, kumbe bado wapo kazini? Au Botswana nafasi hakuna?Wameuwa wananchi wasio na hatia wanaanza kutafta umaarufu un
Mkwanja tu hapo.... waliukuwa wanawaona wagonjwa wanakufa!Hivi waligomea na mishahara au waliwagomea tu wagonjwa.
Wahuni hao, ulinzi wa nini?? Vipi kuhusu watu wanaokufa kwa sababu ya mgomo wao!na wagonjwa wanaokufa bila hatia kwa migomo bubu waombe ulinzi wapi? Ni ijumaa iliyopita nilienda amana hospitali kitengo cha kinamama wajawazito. Wamama walikaa toka saa moja asubuhi hadi saa tano bila kuonana na dactari na baadae nesi akatangaza. Wamama kama mnavyojua serikali imetangaza hakuna mgomo lakini sio kweli. Leo tuna madoctor wawili mmoja yuko theater mwingine labour hatuna doctor wa kuwapima wengne hawajaja tunafanya mawasiliano kuwaomba waje kuwahudumia. Atakayeweza kuendelea kusubiri asubiri kama huwezi urudi jumatatu maana madoctor hawana uhakika wa kuja. Source mi mwenyewe nilikuwepo.