pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Huyu DC kwa vyovyote kuna mgogoro na elimu yake, anyway,ndivyo walivyo ccm!Kwani DC hana mipaka ya kazi au HAJUI utaratibu? au wao ma-DC ndo muingu wadogo? Amejisahau kwamba kumlazimisha dakt. kunaweza kuleta shida zaidi kwa mgonjwa wake. Ingefaa yy atoe ushauri na sio AMRI/KULAZIMISHA. ni = na matumizi mabaya ya madaraka.