McCarthy
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 506
- 552
Nadhani kinachowasumbua ni kile kijulikanacho kwa Kimombo kama "Inferiority Complex ". Hii nadhani inaweza kuwaelezea kikamilifu hali zao kiuchumi etc zikoje.Hahaha hii nchi ina vituko yaani mwanataaluma mzima unajitokeza kuzungumzia hii issue