Chama cha mabaharia chaja juu

naona,unatuchokoza tunaoishi Dar.Kuwa makini.
Mnachafua dhana nzima ya mabaharia.. sisi kama mabaharia wa ukweli tunaosafiri na meli tunapinga vikali matumizi ya neno baharia kwa sababu hatuwezi kukaa kapu moja na wanaume wanao ogopa hata panya road, wanakula mahindi hadi yawekwe chumvi, wanajipodoa utadhani mwanamwali anatolewa posa, wanalipiwa pango na majimama..


Hii ni fedheha kabisa..

Tu ategemea kufungua kesi mahakama ya kisutu soon.. kwanza tundu lisu apate haki yake.
 
Different fotos of Baharias
IMG-20190910-WA0002.jpeg
IMG_20190910_194408.jpeg
IMG_20190827_161139.jpeg
FB_IMG_1563780765470.jpeg
tapatalk_1564163011686.jpeg
FB_IMG_1559231244761.jpeg
tapatalk_1559983564710.jpeg
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom