Chama Cha Labour Cha Uingereza chaipongeza Serikali ya Magufuli

Trump2

JF-Expert Member
May 28, 2017
1,553
2,608
Chama cha Labour cha nchini Uingereza kimepongeza juhudi za Rais Magufuli na Serikali yake kwa utendaji mzuri katika kulinda na kugawanya rasilimali kwa watu wake.

dar.jpg


Source: DarMpya
 
Chama cha Labour cha nchini Uingereza kimepongeza juhudi za Rais Magufuli na Serikali yake kwa utendaji mzuri katika kulinda na kugawanya rasilimali kwa watu wake.

View attachment 628575

Source: DarMpya
Swali langu kuu kabisa ni je!? Kwanini pongezi zimekuwa muhimu na zinatafutwa kokote zinakopatikana iwe kihalali ama isivyo kihalali kwa awamu hii??
 
Sipati picha habari hii ingekuwa ni taarifa ya kuikosoa serikali ya JPM......TANAPA yangefurika hapa kwa maelfu!!
 
Back
Top Bottom