Wanatengeneza reference decoyHawa wanataka kuwa Rubber Stamp ya kusema mbona CCK wametemeshwa.
Wanatengeneza reference decoyHawa wanataka kuwa Rubber Stamp ya kusema mbona CCK wametemeshwa.
Director anajidhalilisha sana na script za kindergartenMovie, Director Yohana. Unategemea nini!!
Sio hivyo,Chama Cha Kijamii (CCK) kimekuwa chama cha Mbuzi wa Kafara kwa makosa ya kutokulipa ada ya milioni moja pia mgombea mwenza kutokuonekana katika ofisi za TUME hivyo kukosa sifa na kusababisha kuenguliwa!
Swali: Walikuwa hawajui utaratibu wa Mgombea Urais na Mwenza kwenda pamoja?
Hivi hiki si kile cha kina Nape, Sitta na mzee wa degree nne??Katika urejeshaji huo simuoni mgombea mwenza akiambatana na mgombea urais.
Nilitarajia kuona mgombea wa kiti cha urais kutoka chama CCK akiambatana na mgombea mwenza. Je inawezekana asiteuliwe?
UPDATE
Rasmi CCK imeshindwa kutimiza vigezo vya kisheria kuteuliwa kugombea nafasi ya urais.
1. Picha za mgombea urais ndg Daudi Mwaijejele zimewasilishwa
2. Picha za mgombea mwenza ndg Ally Saidi Juma kukosekana
3. Mgombea Mwenza kutofika mbele ya Tume.
4. Kutowasilisha stakabadhi ya Tshs Milion 1 .
TAMKO LA TUME
Chama cha CCK imekosa sifa ya kuteuliwa hi yo mgombea nafasi ya Urais ndugu Daudi Mwaijejele na mgombea mwenza ndugu Ally Saidi Juma hawajapitishwa na Tume ya Uchaguzi kugombea nafasi walizoomba
View attachment 1547745
View attachment 1547709
Una akili sanaHawa wanataka kuwa Rubber Stamp ya kusema mbona CCK wametemeshwa.
Acha ramliHuyu kapangwa kabisa yaani amefanya makosa ya wazi wazi kabisa.
CHAMA CHA NAPE HIKO.Acha ramli
Hivi unafahamu makao makuu ya cck yalipo?