Tangopori
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,629
- 1,282
Chama cha chaumma leo kimepewa usajili wa kudumu na msajili wa vyama vya siasa John Tendwa,
na pia amesema kuna sheria inaandaliwa ya kushughulikia vyama vinavyoleta uchochezi, kutukana polisi na kutukana viongozi
mwenyekiti wa muda wa chaumma ni Wales Mayunga!
Source: ITV habari saa mbili usiku!
na pia amesema kuna sheria inaandaliwa ya kushughulikia vyama vinavyoleta uchochezi, kutukana polisi na kutukana viongozi
mwenyekiti wa muda wa chaumma ni Wales Mayunga!
Source: ITV habari saa mbili usiku!