Wawejja sana mkuu(acha niongee kingosha kidogo).....hahahaaa, Simba Nguvu MojaNimekuangalia kwa makini ndiyo nikamaizi bendera ya Mnyama unayo kifuani.Tupo pamoja mkuu.
Anamvunjia Chama heshima yake hadharani!Uhaini huo.Mkuu,kuwa na adabu kwenye soka aisee
Sisi Alhamdulillah tunaambaa ambaa na uongozi wa ligi. Kwa mbaali Chama akishika mpira huwa kamoyo kanadunda ila hao wengine zilipendwa tu.Mimi nipo ngangari ajabu.Hofu yangu kwenu watani wangu.Ukisikia Chamaaaaaa...au Okwiiiiiii...ama Boccooooooooooo!!!Unajisikiaje rohoni na moyoni mkuu wangu!?
Anamvunjia Chama heshima yake hadharani!Uhaini huo.
Ndio naona meshakutana hapo na huu muunganiko wenu basi hakuna haja ya Manara kuwepo.Shadeeya naona jamaa hajui kama mimi ni Simba mwenzie! Namna hii kama mpo vitani si mtajikuta mnashambuliana wenyewe kwa wenyewe sasa? Yaani hapo kama ni kuroga itabidi niende kuroga ili Nkana apakatwe
Nilijaribu moyo wangu ukagoma kabisa kuwa mshabiki wa Mikia.Nimekuangalia kwa makini ndiyo nikamaizi bendera ya Mnyama unayo kifuani.Tupo pamoja mkuu. Shadeeya namuombea ahamie Simba.
Naam.Tulikuwa zamani tunasema mtalijua jiji.Leo hii tunasema mtapata taabu sana!Mihangaiko na mahangaiko vyenu vyote.Ndio naona meshakutana hapo na mjunganiko wenu basi hakuna haja ya Manara kuwepo.
Moisemusajiografii. Yaani tutapata tambo za kila aina.
Kwa mpira wa bongo. Na sasa kichwa kimeshakua kikubwa kwa sifa.Dogo fei toto yupo vizuri, inabidi aongeze tu stamina
Mkuu kama nakufananisha vileWe waache tu. Sisi yetu macho na masikio.
Cletous Chota Chama, wamjua vizuru lakini huyo? Waambia magazeti, redio, televisheni na mitandao yooote mithili ya JF huko Zambia wanataja jina lake kwa jinsi hofu ilivyowaingiaNdio naona meshakutana hapo na mjunganiko wenu basi hakuna haja ya Manara kuwepo.
Moisemusajiografii. Yaani tutapata tambo za kila aina.
Hicho kiti cha uongozi wa ligi unajua mmekaimishwa tu wakati wenyenacho wapo kwenye majukumu ya kimataifaSisi Alhamdulillah tunaambaa ambaa na uongozi wa ligi. Kwa mbaali Chama akishika mpira huwa kamoyo kanadunda ila hao wengine zilipendwa tu.
Na we sio wa kwanza ujue. Itakuwa tunafanana tu na huyo unayemfananisha.Mkuu kama nakufananisha vile
Aisee inawezekana best. Maana mpaka uanajangwani, mwandiko, sura n.kNa we sio wa kwanza ujue. Itakuwa tunafanana tu na huyo unayemfananisha.
Hahahaa, tushangilie japo kwa hiyo mechi moja ya ugenini na hao Wazambia basii, cmnNilijaribu moyo wangu ukagoma kabisa kuwa mshabiki wa Mikia.
Feisal dogo kahorojeka sana, mtoto umleavyo ndio akuavyo.Naunga mkono hoja,
Chama bado sana kwa feisal, wamekutana na vibonde mbabane mnamwona mchezaji, wakati mechi na Ndanda, Mbao, Yanga na Lipuli kachemsha,
Lakini unaonage uchezaji wake? Kama wa kishoga hivi ila unavutia eeh!!Feisal dogo kahorojeka sana, mtoto umleavyo ndio akuavyo.
Mwambieni dogo huku bara hatutaki ujinga wake wa kutuonyesha onyesha boksa yake.
Nashukuru mkuu Sesten Zakazaka: mdogo mdogo, jambo la muhimu UHAI na AFYA hayo mengine majaaliwa kiongozi wangu.Nipo mkuu majukumu tu yamenizidia, mambo yanakwenda lakini kiongozi wangu?
Nimefurahi kukufahamu. Na kwa hakika salamu zimeshawafikia huko waliko niongezee tu kwamba wajue viporo vina mawili kuchacha au kutokuchacha.Aisee inawezekana best. Maana mpaka uanajangwani, mwandiko, sura n.k
By the way, mimi ni Mwanajangwani mwenzio.
Wape hi mikia waambie tumewazidi points 11 (Usisahau kufikisha hizi salam ni muhimu mkuu)