we umesahahu lile soo alilonizushia hadi CCN business news?? sijui kakoje kale kabinti, mi nadhani kamelogwa na sheikha yahyahuyu Wema hata mimi keshawahi kunipakazia BBC swahili, lakini nimemsamehe.
Halaf naomba kama yupo hapa JF aniPM tukumbushie.
.......haya tueleze wakwako hao wa majuu:biggrin1:bongo bwana..mnapelekana pelekana kichizi na vi star vyenu mbuzi..ujinga mtupu
Thanks BJ, and that was my point...MTM, kwanza nimecheka sana kwa hii 'scenario'..:dance:
Ni hivii, kwa hasira nitakujibu kutokana na ulichoandika/kusema hivyo basi ngoma inakuwa droo au tit for tat..:A S angry::fencing:
Vinginevyo, nitakuwa kimya mana ni kitu kizuri sana japokuwa kigumu kwa wengi wetu. Ukimya unasaidia hata kama unaonekana f.a.l.a pia kunakatisha maneno maana hamna majibizano.
bongo bwana..mnapelekana pelekana kichizi na vi star vyenu mbuzi..ujinga mtupu