Kweli mkuu, kuna watu roho mbaya kwelikweliWatu wana roho mbaya adi ii wata reply dah
Naona umeipata mkuuKweli mkuu, kuna watu roho mbaya kwelikweli
BabeWakuu,
Hapa tufanye challenge kidogo, ambaye comment yake haitokuwa na reply kwa siku nzima atapata vocha ya 10k. Sitanii
Twende kazi
nb. mpaka sasa sijaona reply empty bila kupata reply ya nyenzake..
Kumbuka reply iliyomaliza 24 hours bila reply nyenzake basi ndio bingwa wetu..
6kiJamani hebu mpumzike Ni mapema mnoo mnatupigia kelele
Hiyo ni O kama O au ni tundu
Matusi hayaruhusiwi, utakula ban we jifanye kutusi kimarekani unafikiri Mods hawaijui hiyo lughaDont reply to this message u dip ass
Im warning y'all f*cking twats
Acha kuwashwa MkuuSawa tumekuelewa
My wangu mtamu zaidi ya usingiziBabe
Hawawez kuja mkuu!!niamn mmKuna kenge itakuja kureply..
Bata wewe..🤣🤣Hawawez kuja mkuu!!niamn mm
Babe umeniquote ili nikose hela kwanini?My wangu mtamu zaidi ya usingizi