Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,369
- 9,746
Taarifa ya uongo ya Police itampeleka Motoni Marehemu... Watende haki hao Police japo sio haiba yao... Dereva apewe ulinzi wa taasisi Nyingine maana watamuonea sana Dereva kwa jinsi walivyo polisi... wanapenda kununua kesi za pilisi wenzao... Watakao muonea huyo dereva walaaniwe Dereva ashitakiwe kwa haki bila uonevu