Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakubaliana a wewe,huwezi kuta ujinga huu kwenye mercedes benzHaya mkuu, endelea na ujuaji wako. Ila nikwambie kitu kimoja Land Cruiser is just another Toyota. Tafakari.
halafu hawana hata ofisi,wanakaa kwenye vibenchi tukuna shida hapo!! dereva kupumzika ni majaliwa!
ha hahaaa....Kila nafsi itaonja mauti.
Safari Njema huko mnakokwenda.
Ugomvi wa mungu na shetani ndo sababu ya yote haya. Hawataki kukaa kumaliza mabifu yao binadamu tutuliee.
acha siasa kwenye msiba shwainMabosi 3 gari 1 vyuma vyuma vyuma ndio chanzo
Remembering jk
Hapa enzi za jk ingekuwa mabosi 3 gari 3 marehemu 1
Mpotezee tu bro, kutumia na kumiliki ni mbingu na ardhi.Huyo jamaa anaona wenzie hawajui kitu yeye ndio anajua kwa sababu 'anatumia' hizo gari.
Jana nimeskia kwenye taarifa ya habar kuwa chanzo ni uzembe wa dereva wa gari la serikali.Uzembe huo ulipelekea hilo gari lihamie upande wa pili na kugongana na LoriHii Ajali ilitokea bado mchana Around 12 jioni no giza Ila haya magari madereva wao wanatakiwa kuwa monitored
Kwakweli nimeshitushwa na umri wa huyo Dereva, miaka 23 hata kama alipata leseni na miaka 16 bado ana uzoefu mdogo sana kuendesha viongozi. Atleast watu wakuanzia 35 to 45 wanafaa hizo kazi. Kwanza kichwa kimetulia show za kijinga hakuna, unampa miaka 23 VX V8 kamuaga demu wake na masela kuwa nipeni masaa matano nitakuwa Dodoma.
Dah walale kwa amani. Ila hizi gari nazo zinajifanyaga zenyewe ndio king of Roads, kwenye 50 kph wao wapo 170kph, wanaona baby walker kama kobe wana overtake gari hadi nane, wataacha kuua kweli? Serikali inapaswa kuliangalia hili juzi tu wabunge wa Zanzibar wamenusurika.