masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
TUliwaambia huko nyuma, huyu Chalamila ni hafai
Hapana ktk hili RC ulichemka,tusi nikuhamasisha chuki.View attachment 1814982
TUliwaambia huko nyuma, huyu Chalamila ni chizi!
Huyu wampeleke Mirembe
Tulisema huko nyuma, wengine wanasema tuna roho mbaya.HAPANA KTK HILI RC ULICHEMKA,TUSI NIKUHAMASISHA CHUKI.
UONGOZI HAPO ULIKUPITA
Bado Hapi akajitumbue mwenyewe Mara.Ukiingia Mara yafaa uwe na Adabu.Mambo ya DC wa Rorya kuminya watu kiwanda cha kuzalisha silaha hayatakiwiNa tayari ameshatumbuliwa.
Mtu mzima anaongea we unasema comedy, yupo serious, hakuna Raha ya mtu anayejitambua kuongozwa na kivuli badala ya mtu husika. Hatuna Raisi mpaka sasa.Huyu jamaa kutochukulia mambo siriazi ndio kumemponza, Wakati yeye akili yake ikimtuma anafanya comedy, huku Sisi tunachukulia anamaanisha
Kwa nini asifunguliwe mashtaka kuhamasisha fujo?View attachment 1814982
TUliwaambia huko nyuma, huyu Chalamila ni chizi!
Nayeye ana faili huko?Huyu wampeleke Mirembe
Sasa yeye kwa uchizi wake anahamasisha mabango mpaka ya matusi. Hovyo kabisa na ameonesha alivyo punguani!Si mama alisema mabango hataki?