Zereu
Kwa mtazamo wangu mimi nadhani RC hakuwa na maana ya kuhamasisha watu waje na mabango ya matusi ya kumdhalilisha MAMA. Kwasababu zifuatazo:Si mama alisema mabango hataki?
Mdomo wake umeponza kichwa.Kwa mtazamo wangu mimi nadhani RC hakuwa na maana ya kuhamasisha watu waje na mabango ya matusi ya kumdhalilisha MAMA. Kwasababu zifuatazo:
1. Kama alikuwa na nia ya kuhamasisha watu kuja na mabango ya matusi ya kudhalilisha, angefanya mpango huo kwa siri, na asingeweka wazi hadharani.
2. Nakumbuka Rais aliwahi kusema kwamba hataki kuona mabango anapofanya ziara, na kwamba akiona bango hata moja, basi atachukua hatua. Kwahivyo, nadhani RC alikuwa ana maanisha watu waje kwenye mapokezi ya Rais, na hata wakitaka kuja na mabango pia waje nayo, yeye RC anajiamini na kwamba inawezekana wanachi wakakosa hoja za msingi za kuandika kwenye mabango, na hivyo hata wakitaka kumtukana RC kwenye mabango ruksa.
3. Nadhani tujipe nafasi ya kutazaama clip yote ya alichokiaema RC ndio tunaweza kupata maana halisi ya alichokia anamaanisha.
Vinginevyo natoa pole za dhati kwa mstaafu Mh. RC Chalamila kwa yaliomkuta.
Ni pombe na kukurupuka, ninadhani anajuta hata kukaa mbele ya kamera siku ile.Kwa mtazamo wangu mimi nadhani RC hakuwa na maana ya kuhamasisha watu waje na mabango ya matusi ya kumdhalilisha MAMA. Kwasababu zifuatazo:
1. Kama alikuwa na nia ya kuhamasisha watu kuja na mabango ya matusi ya kudhalilisha, angefanya mpango huo kwa siri, na asingeweka wazi hadharani.
2. Nakumbuka Rais aliwahi kusema kwamba hataki kuona mabango anapofanya ziara, na kwamba akiona bango hata moja, basi atachukua hatua. Kwahivyo, nadhani RC alikuwa ana maanisha watu waje kwenye mapokezi ya Rais, na hata wakitaka kuja na mabango pia waje nayo, yeye RC anajiamini na kwamba inawezekana wanachi wakakosa hoja za msingi za kuandika kwenye mabango, na hivyo hata wakitaka kumtukana RC kwenye mabango ruksa.
3. Nadhani tujipe nafasi ya kutazaama clip yote ya alichokiaema RC ndio tunaweza kupata maana halisi ya alichokia anamaanisha.
Vinginevyo natoa pole za dhati kwa mstaafu Mh. RC Chalamila kwa yaliomkuta.
Umeona nilichokiona pia...Hata kwa muonekano muundo wa kichwa chake unaleta mashaka sana
Na siyo Mtumbuliwa?Mwite RC mstaafu
Naomba utusaidie kuweka clip yote...maana nataka kuamini JF Platform lazima tuwe na integrity of the information we share. ...au iwe verified.Kwa mtazamo wangu mimi nadhani RC hakuwa na maana ya kuhamasisha watu waje na mabango ya matusi ya kumdhalilisha MAMA. Kwasababu zifuatazo:
1. Kama alikuwa na nia ya kuhamasisha watu kuja na mabango ya matusi ya kudhalilisha, angefanya mpango huo kwa siri, na asingeweka wazi hadharani.
2. Nakumbuka Rais aliwahi kusema kwamba hataki kuona mabango anapofanya ziara, na kwamba akiona bango hata moja, basi atachukua hatua. Kwahivyo, nadhani RC alikuwa ana maanisha watu waje kwenye mapokezi ya Rais, na hata wakitaka kuja na mabango pia waje nayo, yeye RC anajiamini na kwamba inawezekana wanachi wakakosa hoja za msingi za kuandika kwenye mabango, na hivyo hata wakitaka kumtukana RC kwenye mabango ruksa.
3. Nadhani tujipe nafasi ya kutazaama clip yote ya alichokiaema RC ndio tunaweza kupata maana halisi ya alichokia anamaanisha.
Vinginevyo natoa pole za dhati kwa mstaafu Mh. RC Chalamila kwa yaliomkuta.
Huu ndio uchochezi hakika
Huu ndio uchochezi hakika