bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,068
- 183
Wana JF:
Majuzi niliuliza swali hapa kutaka kujua Ni vyakula gani vinasaidia mtu kufanya mapenzi kwa muda mrefu bila kukojoa na vyakula gani vinaongeza stamina wakati wa kufanya tendo la ndoa kwa upande wa WANAUME na ni vyakula gani vinaongeza nyege na hamu ya kufanya mapenzi kwa WANAWAKE.
Majibu mengi yalitolewa, yeney kuelimisha na kukebehi, lakini nashukuru watu wengi walijitokeza kuchangia. Ni wazi kwa majibu yaliyotolewa suala zima la stamina katika kufanya mapenzi hasa kwa wanaume limeonekana ni muhimu au ni tatizo kwa wengi, vinginevyo watu wasingehangaika kufanya tafiti kujua nini kifanyike.
Kwa upande wa kinadada imeonyesha wazi kwamba si tatizo kubwa kwao, na kwa waliochangia (mmoja ama wawili) imeonekana wazi wadada wengi wanathamini mwanamume ambaye YUPO FITI na mwenye umbo kakamavu la kustahimili purukushani za kitandani! Kwa michango yote iliyotolewa nimefanya majumuisho yafuatayo, amabyo japokuwa wengi walikebehi na kuona ni topic isiyofaa bado nasisitiza kwamba ni muhimu kwetu (wanawake na wanaume) kufahamu kwamba mapenzi ni jambo muhimu na kuna miiko au masuala muhimu ya kuzingatia. Maoni yafuatayo yalitolewa, naamini kuna wengi yatawasaidia:-
- Kufanya mazoezi ya mara kwa mara (asubuhi na jioni)
- Kupunguza kunywa pombe na kuvuta sigara
- Kula sea food (hasa pweza, ngisi na aina mbalimbali za samaki)
- Kula nuts/seeds (njugu mawe etc)
- Kutumia asali kwa wingi (Asali ni dawa nzuri sana kwa inaongeza hamu ya kufanya mapenzi sana. Unaweza kuchanganya asali na Mdalasini, Mkia wa Kondoo au na Vitunguu swaumu)
- Kutumia vyakula vya kuongeza protini mwilini kama vile samaki, maziwa, mayai kwa wingi kwani sperms unazotoa hutengenezwa na protein.
- Kunywa maji mengi nay a kutosha kila siku
- Kula matunda kwa wingi (blue berries, Kiwi na matunda mengine ya mapenzi, angalau matunda mawili kwa siku, moja asubuhi na moja jioni. ukiweza kula zaidi ya hayo ni sawa. fanya hivyo kwa siku 7 mfululizo)
- Kutafuna vtunguu swaumu at least punje kama 20 au 15 mida ya jion siku moja kabla ya kufanya mapenzi na siku ya siku unakunywa maziwa robotatu lita au lita mzima
- Kula koma manga kabla ya tendo (kufanya mapenzi)
- Juice ya tende iliyochanganywa na mazima (Hii unachambua tende kwa kutoa kokwa halafu una saga kwenye blender kwa kuchanganya na maziwa, unakunywa juice kiasi cha glass 1 au 2 kutokana na kiasi kilicho patikani kwenye kusaga huko. Unaweza kutumia mara 2 au 3 kwa kutwa kwa muda wa wiki moja, mbili, tatu nakuendelea kutokana na uwezo wako)
- Supu ya mchicha iliyochanganywa na vitunguu swaumu na tangawizi za kutosha. Mchicha uchemshwe bial kuweka kitu kingine. Unaweza kuweka kitunguu maji tu.