Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 5,885
- 13,263
Nilikuwa Zanzibar forodhani sehemu ile karibu na bandari,jioni nikaenda kununua mishikaki,nikanunua mishikaki ya ng'ombe ,si nikaona tena mishikaki mirefu membamba ,nikadhani ni mishikaki ya firigisi ,nikachukua kama nne,nilivyokula niliona tamu sana ,nikamwambia jamaa aongeze,kuja kuuliza baadaye kumbe ni konokono wa baharini ,sahivi nikiviona napita mbali .